Arash charlz
Member
- Apr 23, 2014
- 50
- 1
Msaada kwa hili jamani,hv vyuo vya afya vya private wanaweza kukuchukua ukiwa na alama D mbili na E moja ktk masomo ya phy,chem na bios? Nina div.4.32
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msaada kwa hili jamani,hv vyuo vya afya vya private wanaweza kukuchukua ukiwa na alama D mbili na E moja ktk masomo ya phy,chem na bios? Nina div.4.32
Msaada kwa hili jamani,hv vyuo vya afya vya private wanaweza kukuchukua ukiwa na alama D mbili na E moja ktk masomo ya phy,chem na bios? Nina div.4.32
Tuma maombi wizarani ww asikukatishe tamaa mtu, CAS central admssion system wamesema kwamba cheti cha kidato cha nne kionyeshe alama D na E ktk PCB.alama E ni sawa na D ya mwaka jana
Chuo binafsi anataka sasa Maombi ya wizarani ya kazi gani?
Nenda vyuo vifuatavyo,
1.Lugalo Military Hospital
2.KAM MED college
3.CHANJI-Mbeya
4.Machame hosp
Chuo binafsi anataka sasa Maombi ya wizarani ya kazi gani?
Nenda vyuo vifuatavyo,
1.Lugalo Military Hospital
2.KAM MED college
3.CHANJI-Mbeya
4.Machame hosp
hapo aombe machame na lugalo,hvyo vngne hasa KAM ni majanga.
Ila vigezo na masharti yolowekwa na wizara huzingatiwa