walipima kabla!ila walipima ngoma tu!Mpenzi mpya alafu hajatumia condom!kweli hii kampeni ni ngumu
mnaogopa kwenda hospital!Habari zenu waungwana..naombeni ushauri wa kiafya!nilikutana na mpenz wangu mpya kimwili nikiwa nimemaliza tu period..na baada ya hapo analalamika anawashwa pia anahisi maumivu makari..kwaiyo naomba nijuzwe ni dawa gani yaweza kutibu hilo tatzo??kwa upande wangu niko safi ila yeye ndo anawashwa!!tafadhali ushauri wenu
Mpenzi mpya alafu hajatumia condom!kweli hii kampeni ni ngumu
Poleni sana isijekuwa ni wewe ndie uliye muambukiza huyo mpenzi wako? nendeni wote hospitali muka angaliwe haraka iwezekanavyo.Habari zenu waungwana..naombeni ushauri wa kiafya!nilikutana na mpenz wangu mpya kimwili nikiwa nimemaliza tu period..na baada ya hapo analalamika anawashwa pia anahisi maumivu makari..kwaiyo naomba nijuzwe ni dawa gani yaweza kutibu hilo tatzo??kwa upande wangu niko safi ila yeye ndo anawashwa!!tafadhali ushauri wenu
:eyebrows::eyebrows:Habari zenu waungwana..naombeni ushauri wa kiafya!nilikutana na mpenz wangu mpya kimwili nikiwa nimemaliza tu period..na baada ya hapo analalamika anawashwa pia anahisi maumivu makari..kwaiyo naomba nijuzwe ni dawa gani yaweza kutibu hilo tatzo??kwa upande wangu niko safi ila yeye ndo anawashwa!!tafadhali ushauri wenu
Hahahahah hivi Price hii CC ulonizawadia unataka nikamkune muwashwaji au nimfanye huyu binti asitembee na upup.u kwenye K yake??
Hapana nimemaanisha Aspirin....dawa.. sorry:eyebrows::eyebrows:
Hahahahah hivi Price hii CC ulonizawadia unataka nikamkune muwashwaji au nimfanye huyu binti asitembee na upup.u kwenye K yake??
Nijibu kabla ya tarehe 30/3 vinginevyo nahamishia upup.u kwenye kojoleo lako pendwa.