Habari zenu waungwana..naombeni ushauri wa kiafya!nilikutana na mpenz wangu mpya kimwili nikiwa nimemaliza tu period..na baada ya hapo analalamika anawashwa pia anahisi maumivu makari.kwaiyo naomba nijuzwe ni dawa gani yaweza kutibu hilo tatzo?kwa upande wangu niko safi ila yeye ndo anawashwa!
Tafadhali ushauri wenu
Tafadhali ushauri wenu