<br />
<br />
Duh!Hii kweli kazi,ni kweli kuna ugumu lakini nafikiri huyo shemeji yangu mtarajiwa kama atakuwa na ufahamu wa kutosha akielezwa ataelewa na watajadiliana namna ya kulitatua hilo tatizo kisha wakamove on!Huwezi kumwacha umpendae kisa ana tatizo linalotatulika haijalishi ni la namna gani!Sishauri aachie ngazi bali amwambie!Lakini awe tayari na matokeo yoyote!
<br />
<br />
Duh!Punguza ukali wa maneno AD!!Watoto wapo macho!
<br />mkuu unajua hapa ni mahali pa heshima sana,usifikiri kwa sababu hujulikani unaleta kila upuuzi hapa,jaribu kufikiria kabda hujainamisha kichwa chako kutuma post hapa,sio fresh na sijapenda hii
Amwambie ukweli huzo mpenz wake kabla hajagundua mwenyewe..
<br />nakushauri kwa sababu mimi ni mtu mzima,jaribu kufikiri kabla ya kutenda,usilete post za ajabu hapa,unaonekana kama unadharau jukwaa letu,kama huna mambo ya msingi bora kukaa kimya na kusoma mawazo ya wenzio na kujifunza,acha utani wa kijinga kijana
<br /><br /><br />
<br /><br />
Mkuu mbona unakuwa mkali wakati jamaa katumia Lugha safi, hajatukana na kaonesha heshima zote, labda wewe umekwazika lakini sio wote wenye mtazamo kama wako na ndio maana wapo wanaotoa ushauri. Muhimu ni ushauri kama umekwazika kaakimya.
<br /><br /><br />
<br /><br />
Husna is not that simple mama!There is some complication!
<br />ivi, kama anagundua mwenyewe anagunduaje Hus?
mkuu unajua hapa ni mahali pa heshima sana,usifikiri kwa sababu hujulikani unaleta kila upuuzi hapa,jaribu kufikiria kabda hujainamisha kichwa chako kutuma post hapa,sio fresh na sijapenda hii
Nilimfahamu mwaka 2000,wakati huo wote tulikua waajiriwa wa kampuni moja ya kusafirisha mafuta,kwa sasa ni mfanyabiashara binafsi na ni rafiki yangu,aliniambia tatizo lake kama ifuatavyo;ana mchumba ambae wanapendana sana na wapo kwenye uchumba kwa miezi 8!Mchumba wake ni mtu wa msimamo na anajiamini na anamaanisha anachosema,hawajashiriki tendo la ndoa coz mchumba amesema mpaka watakapofunga harusi!Rose ana miaka 28 na mchumba wake ana miaka 35,tatizo linalomsumbua Rose ni kuwa katika mahusiano yake ya nyuma alikua anafanya mapenzi kinyume na maumbile mpaka amekua "addicted"!Kwa muda wa miezi yote 8 ya uchumba amekua akiwanunua vijana ili wampatie huduma hiyo!Kitendo hicho kinamuumiza sana kwani hapendi kumsaliti mchumba wake kwani mchumba wake amekua akionesha dalili zote za uaminifu!Mahari ameshatoa,vikao vya harusi vinaendelea na pia nyumba yao wanayojenga pamoja iko kwenye lenta!Tatizo lingine kubwa ni mchumba wake amekua akisema namna anavyochukia tabia ya watu wanaojamiiana kinyume na maumbile na hawapendi sana watu hao bila kujali jinsia zao!Rose hana raha,amechanganyikiwa,anampenda mchumba but kuacha tabia hiyo ameshindwa,kumwambia ukweli anaogopa kuachwa!Tafadhali msaidie mawazo!
<br />Kwa nza msaidie rafiki yako aache kununua vijana iliwafanye hayo matendo, haoni kujidhalilisha, pili wala hafai kuwa mke amesha feli mtihani, ni bora abaki single tu, coz hata kama amezoea hiyo kitu, kwani ni lazima kununua watu, kwani hawezi kuwa na mpenzi mmoja tu mwenye kupenda hizo ibada? namshauri avunje hiyo ndoa sababu haitaumu hata miezi mitatu, unless amwambie kabisa sasa hivi huyo jamaa ili aamue kunyoa ama kusuka
<br /><br /><br />
<br /><br />
hebu imagine ishu ikibumbuluka b'dae itakuwaje? Ni rahisi jamaa kukubali tokeo sahv kuliko b'dae.<br />
Mdada ana wasiwasi ndoa haitafungwa ila kwa mtazamo wangu ndoa ni ngumu kutofungwa kwa sasa ila ni rahisi kuja kuvunjika kwa b'dae.