Diara sahivi wahuni wanampanua tu.Na Diara toka Sopu amfumue ile hat trick sasa hivi watu wanajipigia tu
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
PoleYanga ni wabovu ngoja mje muwaone kimataifa hapa bongo wanahonga sana marefa
vipi ManuraNa Diara toka Sopu amfumue ile hat trick sasa hivi watu wanajipigia tu
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Kenge wa umbumbuni kwenye ubora wake, Kama na nyie mlihongwa kwa kupokea vipigo mfululizo basi unatakiwa kulaumu njaa zenu na viongozi wako waliopokea huo mlungula acha dharauYanga ni wabovu ngoja mje muwaone kimataifa hapa bongo wanahonga sana marefa
Manura ni kitu gani hicho mkuu?vipi Manura
Ukiona mtu anachanganya r na l hyo sio wakubishana nae tena .
Vipi utatangua kauli au utameza hivyo hivyoYanga ni wabovu ngoja mje muwaone kimataifa hapa bongo wanahonga sana marefa
Mmecheza na Ihefu ya sudani mmepiga bomu mochwali,hao jamaa ni mgambo huko Sudan ni vita mpira hawajuiVipi utatangua kauli au utameza hivyo hivyo
Leta timu yakoMmecheza na Ihefu ya sudani mmepiga bomu mochwali,hao jamaa ni mgambo huko Sudan ni vita mpira hawajui
Ihefu ya bongo nao tuliwalambaMmecheza na Ihefu ya sudani mmepiga bomu mochwali,hao jamaa ni mgambo huko Sudan ni vita mpira hawajui
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na Diara toka Sopu amfumue ile hat trick sasa hivi watu wanajipigia tu
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Birigimana kutoka Newcastle United atakuwaje hawezi majukumu? Sisi Utopolo usajili wetu makini ulifanywa na kocha wetu Prof wakigamboni.
Chief huyu mbumbumbu akikujibu nitaggDjibouti je mpira wanaujua?