tafadhali sana usipite hapa .bila kusoma na kutoa msaada. thks

tafadhali sana usipite hapa .bila kusoma na kutoa msaada. thks

NDESA BOY

Senior Member
Joined
Dec 30, 2013
Posts
104
Reaction score
26
jaman wana javi ninashida moja inay
onisumbua nayo ni hii. Ndugu zangu hapa nilipo mwenzenu nimehitimu Elimu ya kidato cha sits lakini lugha ya kiingeleza imenipita
kushoto. namanisha ivi siwez kuzumgumzA kingereza vizuri
kibaya zaid cheti changucha iv kina f ya English. nilikuwa nimepanga kwamba niende British council lakini baathi wakaniambia nisiende. nahitaji msaada kutoka kwenu nifanyeje ili niweze kujua kuongea vzr .
 
Back
Top Bottom