Tafadhali sitaki Kusikia Kisingizio hiki timu fulani ikifungwa nyingi Ijumaa na kutolewa rasmi CAFL

Tafadhali sitaki Kusikia Kisingizio hiki timu fulani ikifungwa nyingi Ijumaa na kutolewa rasmi CAFL

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"Tumetolewa kwa Kuonewa kwakuwa Mmiliki wa Timu ndiyo Boss Mkuu wa Kafu Afrika hivyo Waamuzi walimuogopa ili kulinda Vibarua vyao" amesema Boss Klabuni Mrembuaji Makengeza.

Na muda si mrefu nimetoka Kumsikia EFM Radio (Kipindi cha E-Sport) Boss Mrembuaji Makengeza akisema na akikanusha kuwa Klabu yake ya Fungulia Mbwa FC imepata Mapokezi mabaya na kufanyiwa Figisu Figisu na kusema kuwa Wamepokelewa vizuri mno na Kiupendo kabisa.
 
"Tumetolewa kwa Kuonewa kwakuwa Mmiliki wa Timu ndiyo Boss Mkuu wa Kafu Afrika hivyo Waamuzi walimuogopa ili kulinda Vibarua vyao" amesema Boss Klabuni Mrembuaji Makengeza.

Na muda si mrefu nimetoka Kumsikia EFM Radio (Kipindi cha E-Sport) Boss Mrembuaji Makengeza akisema na akikanusha kuwa Klabu yake ya Fungulia Mbwa FC imepata Mapokezi mabaya na kufanyiwa Figisu Figisu na kusema kuwa Wamepokelewa vizuri mno na Kiupendo kabisa.
Kuna huyu aliye babuliwa nyumbani,tutajumlisha na za kule 😃
 
"Tumetolewa kwa Kuonewa kwakuwa Mmiliki wa Timu ndiyo Boss Mkuu wa Kafu Afrika hivyo Waamuzi walimuogopa ili kulinda Vibarua vyao" amesema Boss Klabuni Mrembuaji Makengeza.

Na muda si mrefu nimetoka Kumsikia EFM Radio (Kipindi cha E-Sport) Boss Mrembuaji Makengeza akisema na akikanusha kuwa Klabu yake ya Fungulia Mbwa FC imepata Mapokezi mabaya na kufanyiwa Figisu Figisu na kusema kuwa Wamepokelewa vizuri mno na Kiupendo kabisa.
hio haiwezi kuwa kisingizio,mamelodi ni timu kubwa ipo juu sana,ukilinganisha na sisi wananchi,tutafungwa japo haitakuwa rahisi
 
Popoma nataka nikupunguzie akili kidogo

Unadhalikika sana hapa jukwaani

Umekosa maarifa kabisa
 
"Tumetolewa kwa Kuonewa kwakuwa Mmiliki wa Timu ndiyo Boss Mkuu wa Kafu Afrika hivyo Waamuzi walimuogopa ili kulinda Vibarua vyao" amesema Boss Klabuni Mrembuaji Makengeza.

Na muda si mrefu nimetoka Kumsikia EFM Radio (Kipindi cha E-Sport) Boss Mrembuaji Makengeza akisema na akikanusha kuwa Klabu yake ya Fungulia Mbwa FC imepata Mapokezi mabaya na kufanyiwa Figisu Figisu na kusema kuwa Wamepokelewa vizuri mno na Kiupendo kabisa.
We ongeza tu idadi ya nyuzi za kuzikana..!!
 
Mbumbumbu wanazipenda hizi..ukiona wanavyo comment sasa ..hahahahahaha
Walidanganywa ile ajari yao eti mganga kaisha chukua kitu muhimu..wakala chuma taifa
Sometimes unasoma unaishia kucheka unawaza huyu ni msomi ana akili za mambo ya uchawi uchawi vp mkurya mwenzake ambae Hana vidato yupo yupo na baiskel yake anatembeza mayai
 
Back
Top Bottom