Tafadhali tukimaliza 'Ngonjera' za 'CCM Madili' huko Dodoma, turudi tuwape Majibu ya kutosha Watanzania juu ya Mafuta na Maisha magumu

Tafadhali tukimaliza 'Ngonjera' za 'CCM Madili' huko Dodoma, turudi tuwape Majibu ya kutosha Watanzania juu ya Mafuta na Maisha magumu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kuna Watu wamenishangaza na Wananishangaza sana hivi Watanzania sasa wanalia juu ya Gharama za Maisha kupanda huku Bei ya Mafuta ya Kupikia na yale ya Petrol na Diesel nayo yakipanda badala ya Chama kujipanga Kwanza Kulitatua hili kimeamua Kuitana Makao Makuu Dodoma ili Kimsifie Mtu, Kijipendekeze Kwake na Wapeane muda wa Kutoa 'Ngonjera' zao kwa 'Kuwachamba' waliokuwa hawaivi nao katika 'CCM Mkakati' iliyopita ya 2015 hadi tarehe 17 Machi, 2021.

Mungu kwanini umetuchukulia JPM???
 
Unadhani ccm wanajielewa basi wenyewe walijenga madarasa wanadhani ndio wamemaliza kila kitu wanaacha kugusa maisha ya wananchi badala yake ngonjera tu
CCM wangekuwa Wanajitambua kwa hali ya nchi ilivyo sasa wala wasingefanya Kwanza huo Mkutano Wao Mkuu huko Makao Makuu Dodoma badala yake wangeuhairisha ili watatue Masuala muhimu kwa Wananchi kama Mafuta na Gharama za Maisha kupanda kwa Kasi sasa.

Na naomba nijiweke Wazi kuwa GENTAMYCINE ni mwana CCM lia lia nikiwa ni Mfuasi Mkuu wa CCM Makini na yenye Malengo mema kwa Tanzania yote na Watanzania wote ambayo ilikuwa chini ya Muasisi Mwenyewe Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
 
CCM wangekuwa Wanajitambua kwa hali ya nchi ilivyo sasa wala wasingefanya Kwanza huo Mkutano Wao Mkuu huko Makao Makuu Dodoma badala yake wangeuhairisha ili watatue Masuala muhimu kwa Wananchi kama Mafuta na Gharama za Maisha kupanda kwa Kasi sasa.

Na naomba nijiweke Wazi kuwa GENTAMYCINE ni mwana CCM lia lia nikiwa ni Mfuasi Mkuu wa CCM Makini na yenye Malengo mema kwa Tanzania yote na Watanzania wote ambayo ilikuwa chini ya Muasisi Mwenyewe Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Mkuu kwani haujahudhuria kumbe
 
Kuna Watu wamenishangaza na Wananishangaza sana hivi Watanzania sasa wanalia juu ya Gharama za Maisha kupanda huku Bei ya Mafuta ya Kupikia na yale ya Petrol na Diesel nayo yakipanda badala ya Chama kujipanga Kwanza Kulitatua hili kimeamua Kuitana Makao Makuu Dodoma ili Kimsifie Mtu, Kijipendekeze Kwake na Wapeane muda wa Kutoa 'Ngonjera' zao kwa 'Kuwachamba' waliokuwa hawaivi nao katika 'CCM Mkakati' iliyopita ya 2015 hadi tarehe 17 Machi, 2021.

Mungu kwanini umetuchukulia JPM???
Halafu tumuachie nani kufatilia mgogoro wa ukraine mkuu.tuachie Tanzania na ccm yetu.tuletee nyuzi za ukraine war ndio zinabamba kwa sasa.Hakika tutamkumbuka mwendazake huko mbele ni giza nene sana.
 
Kadiri wanavyopiga hatua, ndio wanazidi kunifumbua macho kuona DHAMIRA ya dhati ya Mwamba katika kuikomboa nchi dhidi ya maadui watatu waliotangazwa awamu ya 1 na wale tuliojitengenezea awamu zilizofuata.

Ni kwanini Mungu aliruhusu hili litendeke?
 
Kuna Watu wamenishangaza na Wananishangaza sana hivi Watanzania sasa wanalia juu ya Gharama za Maisha kupanda huku Bei ya Mafuta ya Kupikia na yale ya Petrol na Diesel nayo yakipanda badala ya Chama kujipanga Kwanza Kulitatua hili kimeamua Kuitana Makao Makuu Dodoma ili Kimsifie Mtu, Kijipendekeze Kwake na Wapeane muda wa Kutoa 'Ngonjera' zao kwa 'Kuwachamba' waliokuwa hawaivi nao katika 'CCM Mkakati' iliyopita ya 2015 hadi tarehe 17 Machi, 2021.

Mungu kwanini umetuchukulia JPM???
Maisha magumu unayo peke yako!
Pambana ujikwamue
 
CCM ni chama cha kigaidi hawachagui wa kuua kama mnabisha kamfukueni hayati kule mavumbini
 
Kuna watu waliogopa CCM itawafia nadhani sasa ndio itawafia kweli japo JIWE alikuwa kama glucose aliipa nguvu kwa miaka 6!

JPM alitumia style gani kuipa nguvu CCM?, hiyo style ni sawa au si sawa?, kwani hata hawa wakitumia style hiyo CCM haitakuwa na nguvu?..
 
Kuna Watu wamenishangaza na Wananishangaza sana hivi Watanzania sasa wanalia juu ya Gharama za Maisha kupanda huku Bei ya Mafuta ya Kupikia na yale ya Petrol na Diesel nayo yakipanda badala ya Chama kujipanga Kwanza Kulitatua hili kimeamua Kuitana Makao Makuu Dodoma ili Kimsifie Mtu, Kijipendekeze Kwake na Wapeane muda wa Kutoa 'Ngonjera' zao kwa 'Kuwachamba' waliokuwa hawaivi nao katika 'CCM Mkakati' iliyopita ya 2015 hadi tarehe 17 Machi, 2021.

Mungu kwanini umetuchukulia JPM???
GENTAMYCINE Kaka dunia haiko upande wetu ila iko siku yatakwisha
 
uzuri wa upinzani uko kila mahala, UK na USA ambao tunaamini wameendelea nako kuna upinzani, SA nako ambako waAfrica wengi tunakimbilia kusaka maisha nako kuna upinzani pia.... Upinzani huwa upo tu hata ufanyeje..

Petrol na diesel hata vikiuzwa tsh 30 bado upinzani utakuwepo tu..

Huyu JKN unayemsema na kumsifia anaweza pia kuwa ndio chanzo cha matatizo ya nchi hii mpaka leo...

Watanzania kwa aina ya maisha waliyozoea na kuyataka CCM ndio njia sahihi kwao.... Watanzania hawakubaliani na hoja ya kuteseka kwa kufanya kazi kwa bidii wote kwa pamoja kuijenga nchi yao....wanataka maendeleo yaje bila jasho, yaani uende peponi bila kufa...kwa slogan hizi utagundua ni CCM pekee inayoweza kuwapeleka peponi bila kufa au maendeleo bila jasho na damu...
 
Back
Top Bottom