johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Asili ya CCM ni kupigania Uhuru ndio maana ama inaongozwa na wazee au watu wenye fikra za kizee!JPM alitumia style gani kuipa nguvu CCM?, hiyo style ni sawa au si sawa?, kwani hata hawa wakitumia style hiyo CCM haitakuwa na nguvu?..