Mbiti= fisi
Yaza=e-kundu, nyekundu,.
Tukitafsiri kiswahili-sukuma=Fisi nyekundu.
Lakini kwa vile ngeli ya nomino ya viumbe hai ni "A - WA" katika kiswahili fasaha, basi kiswahili fasaha ni "fisi mwekundu" mfano: ( umoja) "fisi Ana miguu minne/au (kwa wingi) fisi WAna miguu minne,"
Hatwezi kusema "fisi nyekundu" Maana hii katika kiswahili ni moja ya ngeli za vitu visivyohai I - YA (mfano: huwezi kusema (kwa umoja) fisi INA miguu minne/au (kwa wingi) Fisi ZIna miguu minne.
Mbitiyaza=Fisi mwekundu (au kiswahili-sukuma: fisi nyekundu)