Tafadhali usicheke, Ukicheka wewe ni mtu usiye na huruma KABISA

Tafadhali usicheke, Ukicheka wewe ni mtu usiye na huruma KABISA

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
MADAKTARI KWELI HUONA VITUKO

Jamaa ana tatizo kaingia kwa Daktari ikawa kama ifuatavyo,,

Jamaa: Dokta nina tatizo huku sirini,

Daktari : Hebu vua nguo tuone,

Jamaa: sawa navua ila naomba usicheke, pliz dkt usicheke.

Daktari : usijali mimi hii ndo kazi yangu siwezi kumcheka mgonjwa.

jamaa akavua suruali kuonesha dushelele yake. basi dokta kuona, ustaarabu ukamshinda akaanza kucheka na akacheka kama dakika 3 hadi machozi yakamtoka.Dushelele ya jamaa ilikua ni kadogo kama betri Ya AAA (betri za remote ya king'amuzi).Daktari alipomaliza kucheka mazungumzo yakaendelea,,

Daktari : enhee Tatizo ni nini???

Jamaa: IMEVIMBAA toka juzi,

Daktari akazimia
 
Leo umekuja kivingine kabisa
 
Duh! [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Huyo Dokta hafai kabisa anatoa siri za wagonjwa wake ......!
 
Dela gawiza ng'wana MBITIYAZA

Mbiti= fisi
Yaza=e-kundu, nyekundu,.

Tukitafsiri kiswahili-sukuma=Fisi nyekundu.

Lakini kwa vile ngeli ya nomino ya viumbe hai ni "A - WA" katika kiswahili fasaha, basi kiswahili fasaha ni "fisi mwekundu" mfano: ( umoja) "fisi Ana miguu minne/au (kwa wingi) fisi WAna miguu minne,"

Hatwezi kusema "fisi nyekundu" Maana hii katika kiswahili ni moja ya ngeli za vitu visivyohai I - YA (mfano: huwezi kusema (kwa umoja) fisi INA miguu minne/au (kwa wingi) Fisi ZIna miguu minne.


Mbitiyaza=Fisi mwekundu (au kiswahili-sukuma: fisi nyekundu)
 
Mbiti= fisi
Yaza=e-kundu, nyekundu,.

Tukitafsiri kiswahili-sukuma=Fisi nyekundu.

Lakini kwa vile ngeli ya nomino ya viumbe hai ni "A - WA" katika kiswahili fasaha, basi kiswahili fasaha ni "fisi mwekundu" mfano: ( umoja) "fisi Ana miguu minne/au (kwa wingi) fisi WAna miguu minne,"

Hatwezi kusema "fisi nyekundu" Maana hii katika kiswahili ni moja ya ngeli za vitu visivyohai I - YA (mfano: huwezi kusema (kwa umoja) fisi INA miguu minne/au (kwa wingi) Fisi ZIna miguu minne.


Mbitiyaza=Fisi mwekundu (au kiswahili-sukuma: fisi nyekundu)
Kila MTU anatumia code name yake. Mtu hakizai maana
 
We jamaa story zako unazijuaga mwenyewe tu
Sio kwa kamba kama hizi
 
Back
Top Bottom