Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂Toka nimegundua kundi kubwa ni watoto wa 2000 humu sijui napaonaje🤔
Kabisa mkuu ,humu nipakusepa😅😂😂
Ngoja nistay zangu Twitter bn huku nakula chabo mara Moja moja
Aaaah wee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni kweli lakini
😂 ndio vitu unavyopenda kuoa aahMshangazi huo
Kifuani mtindi dumu lita 5
Huko nyuma mchanga kifusi lori haibebi
Chai😂 ndio vitu unavyopenda kuoa aah
Utapinga ila ndio uhalisia.Chai
😃😃Rudi Mirembe wewe ukamalizie dozi za dawa zako,naona hali inazidi tu kua mbaya kila kukicha.