mtata mtatuzi
Member
- Jul 29, 2011
- 44
- 10
Hamjambo wakuu!ni post yangu ya kwanza kabisa humu JF.naelekea mwaka wangu wa 3 wa shahada ya pROCUREMENT AND LOGISTICS MANAGEMENT.huenda nisimalize vema kwa kukosa ada.nahtaji kufanya part time hapa Dar itayonisaidia kwa hili.NIAPDET via mtatam@yahoo.com hapa JF ni mgeni wandugu.