James Hadley Chase
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 1,984
- 3,695
Bwana Netanyahu punguza jazba basiTumefungwa na ndiyo Mchezo wa Soka ulivyo labda kwa Juha ( Fool ) pekee na asiye Mwanamichezo ndiyo atashangaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwana Netanyahu punguza jazba basiTumefungwa na ndiyo Mchezo wa Soka ulivyo labda kwa Juha ( Fool ) pekee na asiye Mwanamichezo ndiyo atashangaa.
Napenda sana ID yako ya Imelowa. Hongera kwa Kulowa / Kuloweshwa.How 😰😰😰
Mnafiki mkubwa Wewe.Bwana Netanyahu punguza jazba basi
Maneno ya ndugu zetu hayo kaka wew sio wa kusema hayo.Mnafiki mkubwa Wewe.
Bwana basi yaishe usije ukanitumia MOSSAD bureMnafiki mkubwa Wewe.
Nitafute tu sawa?Maneno ya ndugu zetu hayo kaka wew sio wa kusema hayo.
Akutafute Nani?hizi maneno sio za kwako kaka.Nitafute tu sawa?
Sawa Dada.Akutafute Nani?hizi maneno sio za kwako kaka.
😂😂 Netapusi huyo.Bwana basi yaishe usije ukanitumia MOSSAD bure
Sawa Dada.😂😂 Netapusi huyo.
Usharudi Uganda?Sawa Dada.
Dada Mwenzako kanizuia nisirudi sasa.Usharudi Uganda?
Kuwa makini huko sheria zao ni kali sana kaka, poa. Kazi njema.Dada Mwenzako kanizuia nisirudi sasa.
Sawa Dada.Kuwa makini huko sheria zao ni kali sana kaka, poa. Kazi njema.
PoaSawa Dada.
Poa Dada.
Na bahati nayo imechangia Kuwabeba kwani hata ukiwaangalia tu Kiufundi hakuna Soka la maana vile ambalo Wanacheza.Uingereza walikuwa Bora sana Jana
Bahati ni muhimu sanaNa bahati nayo imechangia Kuwabeba kwani hata ukiwaangalia tu Kiufundi hakuna Soka la maana vile ambalo Wanacheza.