Tafadhali yule JamiiForums Member maarufu aliyesema mapema kwa Kujiamini kuwa Simba SC anatolewa leo na akatukanwa sana aombwe Radhi upesi

Tafadhali yule JamiiForums Member maarufu aliyesema mapema kwa Kujiamini kuwa Simba SC anatolewa leo na akatukanwa sana aombwe Radhi upesi

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
ID yake nimeisahau ila nikiikumbuka nitaitaja hapa au wale wanaoijua wataitaja muda si mrefu kwani ni Maarufu mno.

Nakumbuka alianza kwa kusema ( tena kwa Kujiamini kabisa ) kama ilivyo kawaida yake kuwa Yanga SC ndiyo watakuwa Mabingwa wa NBC Premier League huku akitoa sababu zake za Kiufundi akaishiwa Kushambulia na Kutukanwa na bahati nzuri mpaka hivi sasa Yanga SC ni Bingwa kwa 90%.

Na hapa katikati tena ( Majuzi tu ) baada ya Simba SC Kushinda Goli 1 dhidi ya Orlando Pirates FC katika CAFCC JamiiForums Member huyo huyo ( niliyemsahau ID yake ) alisema kuwa mwisho wa Simba SC umeshadika na watake wasitake watapoteza ( watafungwa ) na Orlando Pirates FC, ila kwa Masikitiko makubwa akaishia Kushambulia na Matusi kibao lakni Leo ule Utabiri na Mtazamo wake umetimia na hatimaye Simba SC imeyaaga rasmi Mashindano ya CAFCC .

Tukubali tu wengine Wameshabarikiwa.
 
ID yake nimeisahau ila nikiikumbuka nitaitaja hapa au wale wanaoijua wataitaja muda si mrefu kwani ni Maarufu mno.

Nakumbuka alianza kwa kusema ( tena kwa Kujiamini kabisa ) kama ilivyo kawaida yake kuwa Yanga SC ndiyo watakuwa Mabingwa wa NBC Premier League huku akitoa sababu zake za Kiufundi akaishiwa Kushambulia na Kutukanwa na bahati nzuri mpaka hivi sasa Yanga SC ni Bingwa kwa 90%.

Na hapa katikati tena ( Majuzi tu ) baada ya Simba SC Kushinda Goli 1 dhidi ya Orlando Pirates FC katika CAFCC JamiiForums Member huyo huyo ( niliyemsahau ID yake ) alisema kuwa mwisho wa Simba SC umeshadika na watake wasitake watapoteza ( watafungwa ) na Orlando Pirates FC, ila kwa Masikitiko makubwa akaishia Kushambulia na Matusi kibao lakni Leo ule Utabiri na Mtazamo wake umetimia na hatimaye Simba SC imeyaaga rasmi Mashindano ya CAFCC .

Tukubali tu wengine Wameshabarikiwa.
Kabisa mkuu....hata shafii dauda Alisema .....wakamshambulia
 
Kabisa mkuu....hata shafii dauda Alisema .....wakamshambulia
Wao walisema Simba atatolewa tena kwa idadi kubwa ya magoli.


Hatua ya penalt ikifika ni suala la bahati inakuwa upande wa timu itajayoshinda na sio ufundi wowote.
 
ID yake nimeisahau ila nikiikumbuka nitaitaja hapa au wale wanaoijua wataitaja muda si mrefu kwani ni Maarufu mno.

Nakumbuka alianza kwa kusema ( tena kwa Kujiamini kabisa ) kama ilivyo kawaida yake kuwa Yanga SC ndiyo watakuwa Mabingwa wa NBC Premier League huku akitoa sababu zake za Kiufundi akaishiwa Kushambulia na Kutukanwa na bahati nzuri mpaka hivi sasa Yanga SC ni Bingwa kwa 90%.

Na hapa katikati tena ( Majuzi tu ) baada ya Simba SC Kushinda Goli 1 dhidi ya Orlando Pirates FC katika CAFCC JamiiForums Member huyo huyo ( niliyemsahau ID yake ) alisema kuwa mwisho wa Simba SC umeshadika na watake wasitake watapoteza ( watafungwa ) na Orlando Pirates FC, ila kwa Masikitiko makubwa akaishia Kushambulia na Matusi kibao lakni Leo ule Utabiri na Mtazamo wake umetimia na hatimaye Simba SC imeyaaga rasmi Mashindano ya CAFCC .

Tukubali tu wengine Wameshabarikiwa.
Dah... Nimecheka sana.

By the way nikitamani sana kwenda Musoma ila sikuwa na bahati ya muda, mambo yamenibana sana.
Buriani Tumaini Mkono, daima tutakukumbuka
 
Wao walisema Simba atatolewa tena kwa idadi kubwa ya magoli.


Hatua ya penalt ikifika ni suala la bahati inakuwa upande wa timu itajayoshinda na sio ufundi wowote.
Acha Uwongo na Uzushi huyo Member wa hapa JamiiForums ( niliyemsahau ID yake ) alisema kuwa Simba SC itatolewa Jana na Orlando Pirates FC, ila hakusema hivi usemavyo kuwa kwa idadi Kubwa ya Magoli.
 
Acha Uwongo na Uzushi huyo Member wa hapa JamiiForums ( niliyemsahau ID yake ) alisema kuwa Simba SC itatolewa Jana na Orlando Pirates FC, ila hakusema hivi usemavyo kuwa kwa idadi Kubwa ya Magoli.
Uzushi gani?
Ukwl lazima usemwe,

Wengi humu mlisema Simba atafunguwa tena kwa idadi kubwa ya magoli.

Sababu hana timu ya kupambana na Orlando pirates.

Sasa mmeamua kuhamisha magoli.

Ushindi wa penalty ni kutegemea bahati na sio uweledi wa timu.
 
Simba amefungwa sababu bahati haikuwa upande wao.
Wangetuliza akili kwenye penalty wangepita.

Utopolo wacheni uchawi.
 
Back
Top Bottom