Frank Higno Fuime
Senior Member
- Dec 20, 2020
- 104
- 153
Vipii hivyoo??Aah mie vigezo navyoweka hata sipat yaan dah hadi nakata tamaa..mahandsome wenye tango sikuhiz hamna kabisa namie bamia situmii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipii hivyoo??Aah mie vigezo navyoweka hata sipat yaan dah hadi nakata tamaa..mahandsome wenye tango sikuhiz hamna kabisa namie bamia situmii
Uzi mzuri
Mimi natafuta baba watoto tu..sii Mume😀
Na jambazi anataka mke.Vigezo na masharti kuzingatiwa!
Unabonyeza *#106#,hapo chief utakuwa umefanikiwa.Jamani ukitaka ku(PM) unafanyaje????
Naomba kujua tofauti yasawa wakubwa.....sema tatzo mboga za humu zinataka wenye degree tu afu huwa haziwapi......
Na wanaopata niwachache hulet mrejesho[emoji22]
Tangu liniHata mimi natafta mke wakuu
Tangu leoTangu lini
Hapo itatakiwa nitengeneze ID ya mtu mwenye miaka 70 [emoji41][emoji41]Mizaha imezidi sana kwenye hii. Watu wengi ni wababaishaji! Ingekuwa vyema kama kungekuwa na utenganisho kuzingatia umri wa mwombaji au mtafutaji. Mods tunaomba jukwaa la watu wazima ' Umri iwe kigezo' Kuna wajane wagane oops sijui kama kuna kitu wagane(mwanaume aliyepoteza mke anaitwaje) Wengi wanakuwa stigmatized kwa Kufiwa. Nawaza tu!
Those days....Na kipato kiwekwe wazi
Uhhhh Eiyer, welcome back....Those days....
[emoji58][emoji58][emoji58][emoji58][emoji58][emoji58]Hata mimi natafta mke wakuu