Tafadhali zingatia vigezo hivi unapoanzisha mada ya kutafuta Mke/Mume

Nahitaji mwenza mwenye utayari wa kufanya maisha nami,asiwe tayari na mtoto kwa kua mimi bado sina,awe m/ke wa umri usiozidi miaka 29,mcha Mungu na mwenye mapenzi ya dhati.Aliye tayari tuwasiliane kwa email yangu tdesomazingirajamii98@gmail.com
 
Wakuu hilo jukwaa la wakubwa nalisikia mnasema sema lipo wapi,na kujiunga ni vip,ba vigezo gani?
 
Hapo itatakiwa nitengeneze ID ya mtu mwenye miaka 70 [emoji41][emoji41]

Kwani hilo jukwaa liluhusu nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…