Tafadhalini mashabiki wenzangu wa Simba efu Moja Moja kwa mashabiki laki moja tunamaliza Deni la milioni 90 na chenji inabaki

Upumbavu kama huu siwezi changia,,,, nchi imejaa watu wa ajabu waliokosa hata ufahamu wa kawaida..
Kwani umelazimishwa bwashee au roho mbaya inakusumbua Acha wenye timu yao wachangie hawa mashabiki wa Simba sio type ya akina Mpili malofa wakubwa nyie
 
Kwa sasa CHADEMA inamuhitaji sana LISSU kuliko MBOWE a.k.a Museveni.

Quote
 
Wabunge wananaoshabikia Mnyama watalipa zote hizo. Spika na Naibu wake wanalipa nusu yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…