Kidege Mbuyu
Member
- Jun 2, 2016
- 36
- 25
[emoji1] [emoji1] [emoji1] huyu umemkaribisha na kiswahili fasaha. Wanaume wa mikowani shidaaaa hata kiswahili hawajuiTafadharini = Tafadhalini
Karibu na kuwa makini na uandikavyo usituharibie Kiswahili.
kalibu =karibuKalibu sana jf
Ahsante kwa kunifahamisha..Tafadharini = Tafadhalini
Karibu na kuwa makini na uandikavyo usituharibie Kiswahili.
Ahsante nina Imani ya kufuata ushauri wako...karibu sana, uwe na moyo wa subiri usiwe na hasira maana humu kuna watu wanakamusi za maneno ya kuudhi, itikadi yako ya siasa kaa nayo moyoni usiweke wazi, atakaye kutukana ukiweza na wewe mrudishie ukiona vipi potezea
mikowani =mikoani [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15][emoji1] [emoji1] [emoji1] huyu umemkaribisha na kiswahili fasaha. Wanaume wa mikowani shidaaaa hata kiswahili hawajui
[emoji16] [emoji6]mikowani =mikoani [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Ha ha haaaa wavulana wa Dar bwana taabu tupu![emoji1] [emoji1] [emoji1] huyu umemkaribisha na kiswahili fasaha. Wanaume wa mikowani shidaaaa hata kiswahili hawajui
Karibu Dar mkuu[emoji6]Ha ha haaaa wavulana wa Dar bwana taabu tupu!
Karibu Dar mkuu[emoji6]
Wewe kweli HAPA KAZI TU. Hebu njoo ulione daraja la kigamboni na mji uondowe stress za kijijini.Kazi yangu ni ukulima nije Dar kulima Lami?