Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,403
- 12,775
Wewe kweli HAPA KAZI TU. Hebu njoo ulione daraja la kigamboni na mji uondowe stress za kijijini.
Itanisaidiaje kimaisha baada ya kuliona?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kweli HAPA KAZI TU. Hebu njoo ulione daraja la kigamboni na mji uondowe stress za kijijini.
Itasaidia kukutia munkar kununua matrekta mengi kwa ajili ya kilimo. Si unajua mazo mashambani vifaa mjiniItanisaidiaje kimaisha baada ya kuliona?
Ninyi wavulana wa Dar mtaishia kufugwa tu na wajane...fursa zipo shamba huku!Itasaidia kukutia munkar kununua matrekta mengi kwa ajili ya kilimo. Si unajua mazo mashambani vifaa mjini
Jinsia yangu ni ya Adam(Mwanaume)Karibu dude, maana sjui jinsia yko!
Ahsantum ...Krb sana JF kijukuu chetu.
Nawe umekosea sio mikowani ni Mikoani[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124][emoji1] [emoji1] [emoji1] huyu umemkaribisha na kiswahili fasaha. Wanaume wa mikowani shidaaaa hata kiswahili hawajui
Dongo hilo..Ninyi wavulana wa Dar mtaishia kufugwa tu na wajane...fursa zipo shamba huku!
Hujambo?Dongo hilo..