Nimezungumzia pressure ya mchezo iliongezeka baada ya Ahoua kuingia, kaangalie vizuri hata ile pasi iliyosababisha beki akamvuta Kapombe, beki mwingine aliunawa mpira uliotoka kwa Ahoua hivyo penati ililuwa haiepikiki, hii yote ni sababu ya Ahoua, kufanya makosa kwa Che Malone hakufuti makosa ya Baca, sema una mapenzi makubwa na Baca kiasi huoni makosa yake, siku hizi ni mdhaifu hata kwenye set piece,anaruka kwa macho, pia anajichanganya sana, ile mechi dhidi ya MC Alger goli la pili ni uzembe wake, makosa haya hatujayazoea kwa Baca.Jiulize mwaka jana wakati kama huu Yanga ilikuwa imefungwa magoli mangapi na sasa mangapi, Baca alikuwa na blanders za namna hii?