CHIBA One
JF-Expert Member
- Nov 16, 2018
- 558
- 2,093
Wamiliki wa magari wameongezeka, siku hizi kila Mtu ndoto Yake ni kumiliki gari, Miongoni Mwao kuna madereva wabaya, kuna waliojifunzia uchochoroni baada ya Wiki anaingia barabarani...
Nje Ya hapo kuna Bodaboda, kuna watu wanaotembea na stress/ depression, kuna waendesha baiskeli, kuna malori n.k
Juzi Mida ya jioni Natoka zangu sehem nawahi Nyumbani nikiwa town bado, Maza Mmoja alikatisha barabara ghafla sana akiwa wala haangalii hatari kushoto wala kulia kwake, na mimi nilikuwa nimeiva sana japo haikuwa above 70 kph.aisee mita 3 mbele ghafla kaingia Road, namna nilivyomkwepa nahisi ni kwa Uwezo wa Mungu tu...lakini nilikuja kugundua alikuwa na mawazo sana..
Funzo la kuendesha kwa kujihami niliona lina umhimu sana...Bado kuna bodaboda ambao muda wote anaweza kukusababishia chochote. vijana wetu hawa wakishalewa nao na yuko Ndani ya chuma na demu wake basi haelewi lolote ni speed na mziki mkubwa ulevi na kuendesha umekatisha maisha ya jamaa zetu wengi. Tuwe makini.
Nje Ya hapo kuna Bodaboda, kuna watu wanaotembea na stress/ depression, kuna waendesha baiskeli, kuna malori n.k
Juzi Mida ya jioni Natoka zangu sehem nawahi Nyumbani nikiwa town bado, Maza Mmoja alikatisha barabara ghafla sana akiwa wala haangalii hatari kushoto wala kulia kwake, na mimi nilikuwa nimeiva sana japo haikuwa above 70 kph.aisee mita 3 mbele ghafla kaingia Road, namna nilivyomkwepa nahisi ni kwa Uwezo wa Mungu tu...lakini nilikuja kugundua alikuwa na mawazo sana..
Funzo la kuendesha kwa kujihami niliona lina umhimu sana...Bado kuna bodaboda ambao muda wote anaweza kukusababishia chochote. vijana wetu hawa wakishalewa nao na yuko Ndani ya chuma na demu wake basi haelewi lolote ni speed na mziki mkubwa ulevi na kuendesha umekatisha maisha ya jamaa zetu wengi. Tuwe makini.