Tafadhari leo Xmas kwa wale wapenda sifa kutumia akiba ya pesa kwa pupa

Tafadhari leo Xmas kwa wale wapenda sifa kutumia akiba ya pesa kwa pupa

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,104
Reaction score
6,827
Tafadhari kaa mbali na simu usijekutumia simbanking kaa mbali na atmcard leo siyo siku nzuri kwa wale wapenda masifa 😎😎 January school fees
 
Mama yetu mpendwa na serikal yake sikivu ipo itawasomesha watoto wetu bureeee kwa pesa ya uviko

Alisikika muhuni mmoja ndani ya chamaa.
 
Embu acha wenzio watumie😀
 
Kuleni na kunyweni hakika leo ni siku kuu..Alisikika jamaa mmoja kutoka bethrehem..
 
Kwani hii dunia ni yetu?

Kula Beer wewe!!
 
Wasisahau kwamba Leo ni siku kama siku zengine
 
Back
Top Bottom