Tafadhari naomba kufahamishwa Vibali vinavyohitajika ili mtu aruhusiwe kutoa huduma ya fumigation

Tafadhari naomba kufahamishwa Vibali vinavyohitajika ili mtu aruhusiwe kutoa huduma ya fumigation

Abramovic

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2013
Posts
324
Reaction score
605
Heshima kwenu Wakuu,
Tafadhari naomba kufahamishwa Vibali vinavyohitajika ili mtu aruhusiwe kutoa huduma ya fumigation. Pia kama kuna taratibu zozote za kufuata au vigezo anavyopaswa kuwa navyo mhusika. Maana kuna dogo home hapa amekua mzigo sasa amenipa proposal yake kua angependa kufanya hiyo kitu lakini hatujui pa kuanzia.

Tafadhari msaada wenu wa kuu! Natanguliza shukurani zangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Heshima kwenu Wakuu,
Tafadhari naomba kufahamishwa Vibali vinavyohitajika ili mtu aruhusiwe kutoa huduma ya fumigation. Pia kama kuna taratibu zozote za kufuata au vigezo anavyopaswa kuwa navyo mhusika. Maana kuna dogo home hapa amekua mzigo sasa amenipa proposal yake kua angependa kufanya hiyo kitu lakini hatujui pa kuanzia.

Tafadhari msaada wenu wa kuu! Natanguliza shukurani zangu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda ofisini yeyote ya bwana/bibi afya iwe wa kata,wilaya au mkoa atakupa mwongozo zaidi.
Kumbuka usitoe rushwa kurahisisha kupata vibali/leseni.
NB:Huyo dogo wako mzigo ataweza kweli kuzibua vyoo/mitaro??
Kila la heri.!!
 
Nenda ofisini yeyote ya bwana/bibi afya iwe wa kata,wilaya au mkoa atakupa mwongozo zaidi.
Kumbuka usitoe rushwa kurahisisha kupata vibali/leseni.
NB:Huyo dogo wako mzigo ataweza kweli kuzibua vyoo/mitaro??
Kila la heri.!!
Fumigation sio kuzibua mitaro ndg
Fumigation ni kupulizia/ kuspray dawa ya kuua waddu kama vile kunguni, popo au mashambani
 
Fumigation sio kuzibua mitaro ndg
Fumigation ni kupulizia/ kuspray dawa ya kuua waddu kama vile kunguni, popo au mashambani
Sasa huwezi fanya fumigation kwenye mitaro au chemba za vyoo?
Suala la kuzibua inatokana na mtaro/chemba kuziba.
Nimeona mara kadhaa watu wa fumigation wakizibua mitaro/vyoo.
Kwani kuzibua mitaro si kazi kama kazi nyingine,au unachagua kazi boss??
 
Back
Top Bottom