Tafadhari naomba Msaada wa haraka!


Heeee umekasirika kiasi hiki sijawahi kukuona hivi. Potezea bana
 
Naamini uwanja huu ni wa watu wasomi, cha ajabu intellectual mzima anatoa lugha chafu! ajabu! hebu tuwe wastaarabu jamani,
 
kaza **** kaka cyo kuajiriwa tu uza ata karanga taratibu ukiwa na malengo utakimbia umbali mfupi lakini kama huna utakimbia mbio haziishi''tafuta maisha cyo kazi'
 
kaza **** kaka cyo kuajiriwa tu uza ata karanga taratibu ukiwa na malengo utakimbia umbali mfupi lakini kama huna utakimbia mbio haziishi''tafuta maisha cyo kazi'

hizo nyota nyota uliandika tusi!!?
Lol!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…