Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
I second this1. Jenga mochuari ya kisasa pia uwe unauza majeneza na kuwa na gari ya kubebea maiti.
2. Ukihisi hiyo ya kwanza inakuwa ngumu, jenga restaurant nzuri ambayo utakuwa na huduma maalumu ya kupika chakula cha wagonjwa
Ila hiyo ya kwanza utapiga pesa mpaka utakimbia mwenyewe
Duh!!, hiyo ya kwanza umenitisha, ninavyoogopa hizo kitu. Labda nijaribu hiyo ya pili.1. Jenga mochuari ya kisasa pia uwe unauza majeneza na kuwa na gari ya kubebea maiti.
2. Ukihisi hiyo ya kwanza inakuwa ngumu, jenga restaurant nzuri ambayo utakuwa na huduma maalumu ya kupika chakula cha wagonjwa
Ila hiyo ya kwanza utapiga pesa mpaka utakimbia mwenyewe
Mkuu kwenye hizi ishu za Uwekezaji, kuomba ushauri ni lazima, maana unaweza kujichanganya ukafanya kitu kisicho na tija.Mkiambiwa shule mmezipa kisogo utaona kama umeonewa
Haya sasa matokeo yake ndo hayo
Asante kwa Ushauri mkuu.Jenga mgahawa wa kisasa
Sawa mkuu, asante kwa Ushauri.uza uji wa wagonjwa
Sawa, sema tu sina taaluma ya vitu hivyo, itapaswa nitafute mtaalamu wa ishu hizo.Jitahid uza vitu vya maabara
Mmmhhh!!, We jamaa na mimi nataka kuwekeza ili niwe napata hata vijisenti vya kutunzia familia.Niuzie mm mkuu