Tafakari! chukua hatua

Tafakari! chukua hatua

Sawa unaonyesha upo nafasi ya tatu, je upo kundi gani? Naomba share na mimi pls
Maisha ni mzunguko nami nipo kwenye mzunguko huo wa kuzaliwa, kuishi na kufa na nikishakufa ndio mwisho. Hayo ya maisha ya baada ya kifo kwanza sio maisha.
 
Maisha ni mzunguko nami nipo kwenye mzunguko huo wa kuzaliwa, kuishi na kufa na nikishakufa ndio mwisho. Hayo ya maisha ya baada ya kifo kwanza sio maisha.
Sawa ukifa umekufa je upo wapi
(3. Kuna watakaopata raha duniani na kuishi kwa starehe zote na wakifa hawaendi Kutana na chochote.
Au upo hapa
3. Kuna watakaoishi kwa tabu duniani na wakifa hawaendi kuishi chochote,.

Wewe ni namba 3 ipi?

Au haujasoma vizuri juu?
 
Sawa ukifa umekufa je upo wapi
(3. Kuna watakaopata raha duniani na kuishi kwa starehe zote na wakifa hawaendi Kutana na chochote.
Au upo hapa
3. Kuna watakaoishi kwa tabu duniani na wakifa hawaendi kuishi chochote,.

Wewe ni namba 3 ipi?

Au haujasoma vizuri juu?
Huna hoja yenye mashiko baki unavyoamini wewe
 
Back
Top Bottom