Tafakari katika uombaji wa Vyuo

Athumani malumalu

New Member
Joined
Mar 24, 2022
Posts
4
Reaction score
4
Kwanini wanafunzi wanaotuma maombi kujiunga na vyuo vikuu ambao hawajafaham vizuri kozi zinazotolewa na vyuo husika, wanatakiwa kulipa kwanza hela kabla yakuchagua kozi!!!

Kitu ambacho kinawalazim wachague kozi wasizozipenda kwakuwa pesa hairudi.

Usipolipa huwezi kuona hatua inayofuata. Inawaumiza sana watu..
 
Guidebook imewekwa kwa sababu gani?
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…