Haya ndio madhara ya utandawazi kila mtu anakuwa na acces na mtandao mwisho wa siku watu wanashusha utumbo tu kama huu.... maajabu ni nin? Ni kukuta mjinga kama huyu ndio anatarajiwa kuwa msomi wa chuo kikuu.
Haya ndio madhara ya utandawazi kila mtu anakuwa na acces na mtandao mwisho wa siku watu wanashusha utumbo tu kama huu.... maajabu ni nin? Ni kukuta mjinga kama huyu ndio anatarajiwa kuwa msomi wa chuo kikuu.
Bongo akili ndogo inaongoza akili kubwa. Amkeni. Lazma uje na hoja za msingi sio kusema guiding book. Au ndo unajifunza kulitamka hilo neno. Weka hoja twende sawa. Jf zngatien hawa slow learner. Na hawa ndio wale viongoz wanaotoag matus badala ya maelekezo