Tafakari katika uombaji wa Vyuo

Tafakari katika uombaji wa Vyuo

Athumani malumalu

New Member
Joined
Mar 24, 2022
Posts
4
Reaction score
4
Kwanini wanafunzi wanaotuma maombi kujiunga na vyuo vikuu ambao hawajafaham vizuri kozi zinazotolewa na vyuo husika, wanatakiwa kulipa kwanza hela kabla yakuchagua kozi!!!

Kitu ambacho kinawalazim wachague kozi wasizozipenda kwakuwa pesa hairudi.

Usipolipa huwezi kuona hatua inayofuata. Inawaumiza sana watu..
 
Kwanini wanafunzi wanaotuma maombi kujiunga na vyuo vikuu ambao hawajafaham vizuri kozi zinazotolewa na vyuo husika, wanatakiwa kulipa kwanza hela kabla yakuchagua kozi!!!

Kitu ambacho kinawalazim wachague kozi wasizozipenda kwakuwa pesa hairudi.

Usipolipa huwezi kuona hatua inayofuata. Inawaumiza sana watu..
Guidebook imewekwa kwa sababu gani?
 
Haya ndio madhara ya utandawazi kila mtu anakuwa na acces na mtandao mwisho wa siku watu wanashusha utumbo tu kama huu.... maajabu ni nin? Ni kukuta mjinga kama huyu ndio anatarajiwa kuwa msomi wa chuo kikuu.
Haya ndio madhara ya utandawazi kila mtu anakuwa na acces na mtandao mwisho wa siku watu wanashusha utumbo tu kama huu.... maajabu ni nin? Ni kukuta mjinga kama huyu ndio anatarajiwa kuwa msomi wa chuo kikuu.
Bongo akili ndogo inaongoza akili kubwa. Amkeni. Lazma uje na hoja za msingi sio kusema guiding book. Au ndo unajifunza kulitamka hilo neno. Weka hoja twende sawa. Jf zngatien hawa slow learner. Na hawa ndio wale viongoz wanaotoag matus badala ya maelekezo
 
Back
Top Bottom