Tafakari namna Kigwangalla alivyowadhalilisha watendaji chini yake, kunyimwa Uwaziri ni adhabu ya kumtosha?

Tafakari namna Kigwangalla alivyowadhalilisha watendaji chini yake, kunyimwa Uwaziri ni adhabu ya kumtosha?

Juzi nilipishana na Kigwangala pale shoperz plaza mbezi amepungua sana na macho yake yamejaa simanzi yumkini hayupo sawa kiafya
Unene ni hatari kwa afya. Mpongeze kwa kupunguza mwili
 
Hiki ndicho walilalamikia wabongo kwa miaka 5 yote ya Magu! Uhuru wa kufanya umbeya mitandaoni
 
Back
Top Bottom