tempo_user1
Senior Member
- Sep 7, 2010
- 134
- 15
thats exactly what happened, waandishi maalum, maswali maalum, majibu maalum, TV maalum, makofi maalum, hata wasikilizaji maalum na wapiga makofi maalum
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
thats exactly what happened, waandishi maalum, maswali maalum, majibu maalum, TV maalum, makofi maalum, hata wasikilizaji maalum na wapiga makofi maalum
Nasikitika mchoraji nadhani ana chuki ya binafsi kwa Kikwete. Kanzu inashiria nini? Mbona hukuchora picha ya Dr Slaa na rozari yake? Tujitafakari nafsi zetu. Kila kiongozi ana mapungufu yake. Tangu wa awamu ya kwanza mpaka ya nne. nadhani hata wewe ungeachiwa kuongoza yangekupata yale yale. Kumbuka Kikwete si muumini kamili wa dini yake, ndio maana anahudhuria tafrija za makanisani. je Marehemu Julius alipokea lini Msahafu Msikitini? Wewe nidio itafakari nafsi yako, nadhani hujakamilika mwa-JK. Uchaguzi mwema!
Ahungu