Tafakari time

Ugopa Bangi......
Kitu inapigwa marufuku na serikali alafu wewe bado unavuta
 
Mkuu ulikuwa una nyota na medani kadhaa humu ñdani,

Ghafla kila kitu kimeshuka na kuporomoka umebaki afande wa kawaida ukipishana kwenye lindo

Zile posts zako zilizoshiba,zimeharibiwa na post moja tu

Jitafakari
 
Mkuu asante kwa bandiko!!
Unazungumza na wenye akili sana kwa mafumbo ya lugha ya picha!!
Njiti zote zitawaka iwapo moja tu ikiwashwa moto!!! yaani system mzima itaharibika kwa kupiga mmoja tu na wengine watateketea!
ASANTE kwa tafakuri!!!
Tujiulize ni nani atapigwa kuua system nzima!!?
TUSUBIRI!
 
Exactly
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…