Tafakuri: Je, Siasa hizi za mihemko na kufuata "trends" za mitandao zitawafikisha wapinzani nchi ya ahadi?

Tafakuri: Je, Siasa hizi za mihemko na kufuata "trends" za mitandao zitawafikisha wapinzani nchi ya ahadi?

Mla Bata

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2013
Posts
7,841
Reaction score
17,491
Wasalaam,

Appease, Propitiate and Placate!

Tuliza, Fidia, wape waone na kusikia wanachotaka kusikia!

Kwenye sayansi ya siasa hizi ni nguzo zitumikazo mara kwa mara kuongoza, ebu leo tujikite kwenye Placate.

Placate (play-cat), it's a mind game, una control akili za watu kwa kuwaonyesha wanachotaka kukiona na kuwasikilizisha wanachotaka kusikia kwa muda husika ili upate ama kupoteza attention,focus yao/zao kwenye jambo fulani, zingatia hayo maneno mawili, UPATE ama KUPOTEZA focus/ attention zao.

Kwa maana gani?

Placate hutumika kujenga ama kubomoa, kinachotokea sahizi kwenye nchi yetu ni Placate, Watawala wana "play-cat", wanajua wananchi wake hasa kundi fulani lililo kwenye mitandao ya kijamii ( X/Twitter mathalani) wanataka nini, mihemko yao ipo kwenye mambo gani?

Wanatuonyesha au kutusikilizisha jambo fulani Zuri au baya (mara nyingi ni baya) ili waweze kupata attention zetu (mara zote wamefanikiwa katika hilo), huku lengo lao likiwa kupoteza focus na attention kwenye jambo lingine.

Kwenye uwanja wa mpira wa miguu mara zote aliye nje ya uwanja huweza kuona vizuri zaidi kinachoendelea kuliko aliye ndani ya ground. Mtiririko wa matukio yanaoendelea kipindi hiki kwa haraka haraka unaweza kudhani yanatokea kwa bahati mbaya, la hasha, it's a mind game, and they got us right.

Alitekwa yule kijana afisa Ubashiri wa X, attention yote ikahamia hapo, kelele zote na lawama kwa mamlaka zikashika hatamu, ghafla watoto pendwa wa familia wakafukuzwa nyumbani, was that a coincidence???

Image ya jeshi letu la ulinzi na usalama ikachafuliwa na wahuni 5/6 kwa weredi wao huku wakidai "mtoto kautaka mwenyewe" wizara husika na serikali ikaingia matopeni tena. Habari ya mjini mitandaoni ikawa ndio hio, kuanzia mawakili waandamizi mpaka wanaharakati nguli tukajikuta tumesahau yale yaliyokwisha kutokea nyuma.

Punde si punde Viongozi wa Chadema wote wakakamatwa pamoja na gen z wao, kwa muda tukasahau wale baradhuli watano na akili yote imehamia kwa makamanda, jioni tunamsikia kiongozi mmoja akimuamulu waziri husika awaachie makamanda na gen z wao inafikirisha, wataachiwa, je tutarudi kwenye lipi Sasa? Wait nakumbushwa hapa yule kijana aliyechoma picha ya mkuu, kukamatwa, kuhukumiwa na kuachiwa Kisha kupotezwa hajapatikana bado, vipi tutaanza na hilo?

Hii ni miluzi mingi yenye malengo ya kumpoteza mbwa muindaji, natamani kuona siku upinzani ukistick na kufocus kwenye agenda zake muhimu ilizojiwekea.

Maswali ya msingi, ni kweli Watawala wamefanikiwa kucheza na akili zetu, ni kweli watawala wanaweza kuamua tuwaze nini na kuzungumza jambo gani na wakati gani?

Kama ni kweli, Je hizi siasa za mihemko na kufuata "trends" za mitandao zitawafikisha wapinzani nchi ya ahadi?

Wasalaam.

"Everything is possible for those who believe" lets meet at the top, cheers 🥂.

Mla bata

München, Deutschland 🇩🇪.
 
Jibu ni HAPANA!
Wapinzani wamekosa na kupungukiwa sana na yafuatayo katika movement zao;

Hardworking
Organization skills
Persistence
Sacrifice
Consistency
Discipline
Self awareness
 
Jibu ni HAPANA!
Wapinzani wamekosa na kupungukiwa sana na yafuatayo katika movement zao;

Hardworking
Organization skills
Persistence
Sacrifice
Consistency
Discipline

Self awareness
It make sense, nini wanapaswa kufanya?
 
Issue hii ya viongozi Sasa ndio inaenda na Kijiji.
 
Tutegemee kwenda na hii agenda mpaka watapoamua kutuhamisha attention mahala kwingine.
 
Wasalaam,

Appease, Propitiate and Placate!

Tuliza, Fidia, wape waone na kusikia wanachotaka kusikia!

Kwenye sayansi ya siasa hizi ni nguzo zitumikazo mara kwa mara kuongoza, ebu leo tujikite kwenye Placate.

Placate (play-cat), it's a mind game, una control akili za watu kwa kuwaonyesha wanachotaka kukiona na kuwasikilizisha wanachotaka kusikia kwa muda husika ili upate ama kupoteza attention,focus yao/zao kwenye jambo fulani, zingatia hayo maneno mawili, UPATE ama KUPOTEZA focus/ attention zao.

Kwa maana gani?

Placate hutumika kujenga ama kubomoa, kinachotokea sahizi kwenye nchi yetu ni Placate, Watawala wana "play-cat", wanajua wananchi wake hasa kundi fulani lililo kwenye mitandao ya kijamii ( X/Twitter mathalani) wanataka nini, mihemko yao ipo kwenye mambo gani?

Wanatuonyesha au kutusikilizisha jambo fulani Zuri au baya (mara nyingi ni baya) ili waweze kupata attention zetu (mara zote wamefanikiwa katika hilo), huku lengo lao likiwa kupoteza focus na attention kwenye jambo lingine.

Kwenye uwanja wa mpira wa miguu mara zote aliye nje ya uwanja huweza kuona vizuri zaidi kinachoendelea kuliko aliye ndani ya ground. Mtiririko wa matukio yanaoendelea kipindi hiki kwa haraka haraka unaweza kudhani yanatokea kwa bahati mbaya, la hasha, it's a mind game, and they got us right.

Alitekwa yule kijana afisa Ubashiri wa X, attention yote ikahamia hapo, kelele zote na lawama kwa mamlaka zikashika hatamu, ghafla watoto pendwa wa familia wakafukuzwa nyumbani, was that a coincidence???

Image ya jeshi letu la ulinzi na usalama ikachafuliwa na wahuni 5/6 kwa weredi wao huku wakidai "mtoto kautaka mwenyewe" wizara husika na serikali ikaingia matopeni tena. Habari ya mjini mitandaoni ikawa ndio hio, kuanzia mawakili waandamizi mpaka wanaharakati nguli tukajikuta tumesahau yale yaliyokwisha kutokea nyuma.

Punde si punde Viongozi wa Chadema wote wakakamatwa pamoja na gen z wao, kwa muda tukasahau wale baradhuli watano na akili yote imehamia kwa makamanda, jioni tunamsikia kiongozi mmoja akimuamulu waziri husika awaachie makamanda na gen z wao inafikirisha, wataachiwa, je tutarudi kwenye lipi Sasa? Wait nakumbushwa hapa yule kijana aliyechoma picha ya mkuu, kukamatwa, kuhukumiwa na kuachiwa Kisha kupotezwa hajapatikana bado, vipi tutaanza na hilo?

Hii ni miluzi mingi yenye malengo ya kumpoteza mbwa muindaji, natamani kuona siku upinzani ukistick na kufocus kwenye agenda zake muhimu ilizojiwekea.

Maswali ya msingi, ni kweli Watawala wamefanikiwa kucheza na akili zetu, ni kweli watawala wanaweza kuamua tuwaze nini na kuzungumza jambo gani na wakati gani?

Kama ni kweli, Je hizi siasa za mihemko na kufuata "trends" za mitandao zitawafikisha wapinzani nchi ya ahadi?

Wasalaam.

Mla Bata.

..wapinzani wanakabiliana na mambo yanayojitokeza mbele yao, bila kusahau au kupoteza muelekeo ktk malengo yao ya msingi.
 
"bila kusahau au kupoteza muelekeo ktk malengo yao ya msingi"
I have a doubt on this, wasiwasi wangu ni kuwa licha ya focus yao kubaki kwenye malengo makuu lakini kuna jitihada kubwa na za wazi zinazopangwa kuwatoa kwenye reli.
 
I have a doubt on this, wasiwasi wangu ni kuwa licha ya focus yao kubaki kwenye malengo makuu lakini kuna jitihada kubwa na za wazi zinazopangwa kuwatoa kwenye reli.

..Ccm, na serikali, wameelekeza nguvu kubwa kwenye kuwatoa wapinzani kwenye reli, badala ya kutatua kero za wananchi, na kupunguza ugumu wa maisha.

..Tanzania, pamoja na kuwa na amani, na rasilimali nyingi, haendelei kwasababu watawala wako busy kutengeneza hila za kubaki madarakani, badala ya kujenga uchumi na kuboresha maisha yetu.
 
Jibu ni HAPANA!
Wapinzani wamekosa na kupungukiwa sana na yafuatayo katika movement zao;

Hardworking
Organization skills
Persistence
Sacrifice
Consistency
Discipline
Self awareness
Hayo ni mambo mliyoyakosa nyie watazamaji wa siasa za Tanzania. Mnasubiri mpaka upinzani uchukue nchi ndio mje kuomba kadi za uanachama!
 
..Ccm, na serikali, wameelekeza nguvu kubwa kwenye kuwatoa wapinzani kwenye reli, badala ya kutatua kero za wananchi, na kupunguza ugumu wa maisha.

..Tanzania, pamoja na kuwa na amani, na rasilimali nyingi, haendelei kwasababu watawala wako busy kutengeneza hila za kubaki madarakani, badala ya kujenga uchumi na kuboresha maisha yetu.
Kabisa, hii vita ni kubwa kuliko tunavyoiona kwa nje, watawala hawapo tayari kuona wanakabidhi madaraka kwa upinzani kwa gharama yoyote.
 
Wengi wao Wana akili..mfano my dady ni daktari..
Ila pia ana kipaji ., Akikupiga Kofi alama za vidole Huwa zinabaki sehem aliyoiadhibu 😂😂 dah
 
Back
Top Bottom