Tafakuri: Je, Siasa hizi za mihemko na kufuata "trends" za mitandao zitawafikisha wapinzani nchi ya ahadi?

Hiki ndio kipindi tutachoona na kusikia mengi kutoka kwa watawala, ni vyema wapinzani kustick kwenye mipango yao waliyopanga pasipo kupoteza focus kwenye agenda "potevu" zinazoanzishwa na watawala.
 
A clear focus, good timing.
 
Wakati wa kuchanga karata kwa ustadi mkubwa sana.
 
One big mistake, you done!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…