Duplicate_90
JF-Expert Member
- Mar 29, 2020
- 272
- 308
Wala sio ya kawaida ni Famine, hunger and starving
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂 Mnajua Sana kupambana nyuma ya keyboard, Ila huku kwenya maisha halisi hatuwaoni.Eti uko tayari kufa njaa, dadaangu, unaijua njaa wewe🤔?Niko radhi kufa na njaa kuliko kumtumikia shetani maccm
[emoji23][emoji23][emoji23]Sio kwamba madhila yanayoendelea hawayafahamu hapana wanafahamu sana tena sana, ila ngoja nikung'ate sikio, aneogopwa ni mungu wa Chattle kwake yeye kila pambio litaimbwa. Sasa ukijumlisha uoga na njaa jibu lake unafiki wa kiwango cha tuta la SGR.
Njaaa hata Diamond anayejifanyaga ana pesa ameshikwa na njaa.Wasalaam,
Kuna mambo mengine yanahitaji kufikiri kwa upana hasa kipindi hiki tunapoelelea katika uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani. Nimefatilia uzinduzi wa kampeni za CCM pale uwanja wa Jamhuri Dodoma, nimeangalia nyuso za wasanii waliotumbuiza katika tamasha lile la CCM na kuona wengi wana mashaka katika kile wanachoimba. Nimeshindwa kutambua yale ni mahaba kwa CCM, njaa, au bendera fata upepo?
Wasanii wa bongo wamekuwa wakitumika na CCM kila unapofika Uchaguzi na baada ya Uchaguzi wamekuwa wakitupwa katika dustbin kama takataka nyingine zitupavyo. Hivi ni kweli wasanii hawa hawajitambui au ni njaa inawasumbua? Hivi ni kweli wasanii hawa hawaoni Uhuru wa vyombo vya habari ulivyoyumba? Hivi ni kweli wasanii hawa wamesahau yaliyowakumba katika miaka5 ya CCM? Maana kuna waliotekwa, kufungiwa nyimbo zao n.k hawayakumbuki haya au wametishwa?
Mwisho nawakumbusha wasanii wekeni maneno yangu akiba baada ya Uchaguzi kwisha CCM hao hao watawasomesha namba, CCM ni ile ile haijawahi kumtetea mnyonge.
Maendeleo yana vyama.
Nukuu ya leo "Siwezi kupeleka maendeleo jimbo mlilomchagua mpinzani". (Kauli ya Rais Magufuli akiwa Lindi)
Wazalendo.Hawanaga akili
Daah nasikia walipewa rushwa ya pesa na vyeo si unajua rushwa na ccm ni sawa na uji na mgonjwaBora waende CCM penye uhakika,kwanza wapinzani ni blabla nyingi tu, mnampigania mtu mpaka mnaumizwa na polisi mwisho wa siku anakwenda CCM.
Rushwa zipo tu mbona,Chadema kuna rushwa mpaka za ngono kwa viti maalum.Daa
Daah nasikia walipewa rushwa ya pesa na vyeo si unajua rushwa na ccm ni sawa na uji na mgonjwa