Tafakuri: Je, wasanii Watanzania wanaipenda CCM au ni njaa inawasumbua?

Pesa za mabeberu wale CDM, kuimba waje kuimba wasanii wa Tz...
Mwambie Lissu alete wasanii wa Kenya, yeye si ana damu ya Kenya 🤣
 
Dah...Mrembo...Kuna wakati tuweke ujinga pembeni ili tufikiri kwa uhuru.....wote hawa Magufuli, Lissu, Mzee wa ubeche na kuku, Membe njaa ni sababu mojawapo inayofanya wagombee....Kulialia kwa Lema na Gambo wote ni sababu ya njaa...Madongo kati ya msagaji na yule mcheza sinema eksi yote ni sababu ya njaa.

Ni bodaboda mpumbavu tu atakayekataa kukodiwa CDM eti tu ni mfuasi wa CCM

Ni fundi ujenzi mjinga tu atakayekataa tenda ya ujenzi kutoka CCM eti tu kwa sababu ni mfuasi wa CHADEMA..... Hata wewe utakuwa mjinga kama ukikataa tenda ya kugawa vinywaji kwenye mkutano wa CCM.....kila mmoja anapambana na njaa yake kwa namna yake....Sitashangaa kama njaa yako ndiyo imekusukuma kuleta uzi huu...... 😎
 
Sio kwamba madhila yanayoendelea hawayafahamu hapana wanafahamu sana tena sana, ila ngoja nikung'ate sikio, aneogopwa ni mungu wa Chattle kwake yeye kila pambio litaimbwa. Sasa ukijumlisha uoga na njaa jibu lake unafiki wa kiwango cha tuta la SGR.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Njaaa hata Diamond anayejifanyaga ana pesa ameshikwa na njaa.
 
Daa
Bora waende CCM penye uhakika,kwanza wapinzani ni blabla nyingi tu, mnampigania mtu mpaka mnaumizwa na polisi mwisho wa siku anakwenda CCM.
Daah nasikia walipewa rushwa ya pesa na vyeo si unajua rushwa na ccm ni sawa na uji na mgonjwa
 
Wale ni kama daladala unaweza kupeleka utakako ilimradi umlipe
 
Daa

Daah nasikia walipewa rushwa ya pesa na vyeo si unajua rushwa na ccm ni sawa na uji na mgonjwa
Rushwa zipo tu mbona,Chadema kuna rushwa mpaka za ngono kwa viti maalum.
Lowasa alimuhonga pesa ndefu Mbowe ili apewe nafasi ya kugombea urais ndani ya Chadema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…