Tafakuri: Mwaka huu Yanga wanashindana na Yanga wenyewe

Tafakuri: Mwaka huu Yanga wanashindana na Yanga wenyewe

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
🎙️ ALI KAMWE: “Msimu huu Yanga SC wanashindana na Yanga wenyewe, hizo timu nyingine zinawania nafasi ya pili na kushiriki ligi ya mabingwa au shirikisho. Tumejiwekea malengo yakufikisha points 85 ambazo msimu ulipoita hatukuzipata.”
 
🎙️ ALI KAMWE: “Msimu huu Yanga SC wanashindana na Yanga wenyewe, hizo timu nyingine zinawania nafasi ya pili na kushiriki ligi ya mabingwa au shirikisho. Tumejiwekea malengo yakufikisha points 85 ambazo msimu ulipoita hatukuzipata.”
DAIMA MBELE NYUMA MWIKO....
 
[emoji2424] ALI KAMWE: “Msimu huu Yanga SC wanashindana na Yanga wenyewe, hizo timu nyingine zinawania nafasi ya pili na kushiriki ligi ya mabingwa au shirikisho. Tumejiwekea malengo yakufikisha points 85 ambazo msimu ulipoita hatukuzipata.”
Competing against yourself, maana yake nikufanya Bora Zaid kuliko ulivyofanya kabla mfano mzuri ni kutangeneze bidhaa nzuri zaidi kuliko iliyopita ama iliyoko sokoni
 
Back
Top Bottom