Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Jana TFF wametangaza ujio wa video assistant referee ( VAR) hapa nchini Tanzania itakayotumika kwenye Ligue yetu .......
ni jambo zuri ila Baada ya kufikiria sana nmegundua mambo haya
1. Kuanza kitumika Kwa VAR itakuwa ni mwisho wa Simba kubeba ubingwa since zile penalty za mchongo hazita kuwepo Tena
2: Yale magoli ya offside wanayofunga Simba itakuwa kwaheri
NB Simba tunatakiwa kufanya usajili makini sana ....wale marefa wa kina tatu malogo ....hatutawaona Tena[emoji26][emoji26]
ni jambo zuri ila Baada ya kufikiria sana nmegundua mambo haya
1. Kuanza kitumika Kwa VAR itakuwa ni mwisho wa Simba kubeba ubingwa since zile penalty za mchongo hazita kuwepo Tena
2: Yale magoli ya offside wanayofunga Simba itakuwa kwaheri
NB Simba tunatakiwa kufanya usajili makini sana ....wale marefa wa kina tatu malogo ....hatutawaona Tena[emoji26][emoji26]