Kaka kwa ile Simba ilocheza na Kagera Sugar, daaah timu hakuna pale. Kuna kila dalili 5 kurudiwa tena dhidi ya Yanga.Nasikia makolo wanaomba ianze kutumika kuanzia msimu ujao. Maana msimu huu wanaweza jikuta nafasi ya 6
Wawe makini tu. Hata Azam anaweza kaweka mkonoKaka kwa ile Simba ilocheza na Kagera Sugar, daaah timu hakuna pale. Kuna kila dalili 5 kurudiwa tena dhidi ya Yanga.
🤣🤣🤣au tuanze kukumbushia tuta mlilopewa dhid ya Geita ambayo ilikuwa nje kabisa ya 18 yaan ninyi utopolo kweliKaka kwa ile Simba ilocheza na Kagera Sugar, daaah timu hakuna pale. Kuna kila dalili 5 kurudiwa tena dhidi ya Yanga.
akikujibu nitagMbna walipata ushindi wa kishindo
mpira dakik 90 na ni mchezo wa makosa shida hisia zimekujaa kichwani mpak unaongea pumba hapWawe makini tu. Hata Azam anaweza kaweka mkono
Mimi ni Simba Lia Lia.....ila tukubali tu kuwa tumebebwa sana na maamuzi ya marefaKweli wenye akili yanga ni wawili tu.
Msimu uliopita yanga kachukua ubingwa.
Rejea mechi zifuatazo;
Mechi na kagera mlipewa penalt nje ya kumi na nane,
Mechi na azam round ya kwanza mlikuwa mmekufa goli lenu la kusawazisha mpira ulishatoka,sijui moloko yule sijui lomalisa akapiga krosi mkafunga game ikaisha mbili mbili.
Rejea misimu ya nyuma pia, yanga na lipuli goli ikawa kona,Penalt ya mchongo dhidi ya namungo hadi Feisal akakiri 'aligongwa'.
Imagine VAR haipo hata hatua ya makundi halafu waje kuileta ligi kuuHapo kwenye VAR usimwamini Karia, ni mwongo mwongo...
Hao CAF kwenye mechi zao za club Bingwa hazina VAR, ndio waje wafunge kwenye ligi ya Tz?
Na Azam alikuwa Morrison hata mechi ya juzi na Simba magoli halali yalikuwa manne ukiachilia mbali faulo zao znazochezwa na AuchoKweli wenye akili yanga ni wawili tu.
Msimu uliopita yanga kachukua ubingwa.
Rejea mechi zifuatazo;
Mechi na kagera mlipewa penalt nje ya kumi na nane,
Mechi na azam round ya kwanza mlikuwa mmekufa goli lenu la kusawazisha mpira ulishatoka,sijui moloko yule sijui lomalisa akapiga krosi mkafunga game ikaisha mbili mbili.
Rejea misimu ya nyuma pia, yanga na lipuli goli ikawa kona,Penalt ya mchongo dhidi ya namungo hadi Feisal akakiri 'aligongwa'.