Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tofauti ya hii mikutano ni mikubwa kiwete anajaza akina mama na watoto slaa mikutano yake inahudhuriwa na wanaume na vijana! Hata ukitazama kwa umakini hata hamasa ya watazamaji! Kikwete hujaza watu ingawa watu hawana hamasa kusikia au kushangili kwa slaa ni kinyume chake!
Huu ni utofauti unaonekana ukichunguza kwa umakini na kuacha wanachokizungumza
Chadema lazima ijihadhari na kura za kinamama kwani wao ndio hasa husababisha ushindi ktk tawala nyingi (wapigakura)...Kazi kwenu!
Ni kweli, akina mama ndio ambao huwa na 'turn out' kubwa wakati wa kupiga kura, sie akina baba tukijifanya busy. Ndo hapo sisiemu inapoibuka na ushindi wa kishindo.
ANGALIZO TU MKUU HAPO PENYE RED:
Akina mama ndiyo base kubwa ya JK na ndiyo maana pengine watampa ushindi, kwani wao (akina mama) mara nyingi hu-vote from their hearts, and NOT from their heads. Sura ya JK huwa inawagalagaza wanawake wengi na kama umeaona utitiri wa mabango, ni picha ile ile ya JK (nadhani ya late 90s).
Fikiria: Kama mtu angekuwa na uwezo siku ya kupiga kura kuwazuia nusu ya wanawake nchini wasiende vituoni kupiga kura, basi CCM (na hasa JK) itakuwa taabani! I think you know what I mean!
ANGALIZO TU MKUU HAPO PENYE RED:
Akina mama ndiyo base kubwa ya JK na ndiyo maana pengine watampa ushindi, kwani wao (akina mama) mara nyingi hu-vote from their hearts, and NOT from their heads. Sura ya JK huwa inawagalagaza wanawake wengi na kama umeaona utitiri wa mabango, ni picha ile ile ya JK (nadhani ya late 90s).
Fikiria: Kama mtu angekuwa na uwezo siku ya kupiga kura kuwazuia nusu ya wanawake nchini wasiende vituoni kupiga kura, basi CCM (na hasa JK) itakuwa taabani! I think you know what I mean!