Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
6 Usile chakula cha mtu bahili, wala usitamani mapochopochorts yake,
7 maana moyoni mwake anahesabu unachokula.a Atakuambia, "Kula, kunywa!" lakini moyoni mwake hayuko pamoja nawe.
8 Utatapika vipande ulivyokula; shukrani zako zote zitakuwa za bure.
๐ฅบ๐ฅบ๐ฅบ๐ค๐๐ฟโโ๐๐ฟโโ๐๐ฟ๐ถ๐พ๐ถ๐พ๐ถ๐พ๐๐ฟ๐๐ฟ
Kwahiyo tusile vya watu bahili.. Lakini Mpare naye ni mtu.. Au yeye kwenye hili kundi hayupo!?๐ค
Tumeambiwa kuwa ukisikia mtu ana mkono mrefu basi huyo ni mwizi๐ฅบ.. Lakini pia tunaambiwa ya kwamba hatuwezi kuikimbia serikali ina mkono mrefu.. Kwahiyo serikali ni mwizi? Nachanganyikiwa kabisa!
udaribarla
7 maana moyoni mwake anahesabu unachokula.a Atakuambia, "Kula, kunywa!" lakini moyoni mwake hayuko pamoja nawe.
8 Utatapika vipande ulivyokula; shukrani zako zote zitakuwa za bure.
๐ฅบ๐ฅบ๐ฅบ๐ค๐๐ฟโโ๐๐ฟโโ๐๐ฟ๐ถ๐พ๐ถ๐พ๐ถ๐พ๐๐ฟ๐๐ฟ
Kwahiyo tusile vya watu bahili.. Lakini Mpare naye ni mtu.. Au yeye kwenye hili kundi hayupo!?๐ค
Tumeambiwa kuwa ukisikia mtu ana mkono mrefu basi huyo ni mwizi๐ฅบ.. Lakini pia tunaambiwa ya kwamba hatuwezi kuikimbia serikali ina mkono mrefu.. Kwahiyo serikali ni mwizi? Nachanganyikiwa kabisa!
udaribarla