Tafakuri ya ubahili na mkono mrefu

Tafakuri ya ubahili na mkono mrefu

See ya Chama ... Inasema Upendo na Upendo unaanza na kujipenda wewe mwenyewe Kisha majobless wenzako!

Lazima umwangilie moyo ... Katika Katiba ya Chama ... Sheria namba 5 ibara ya 6 inasema;

Kila mwanachama atatumia rasilimali zake na vipato vyake katika kila jambo ambalo anaona linampa maendeleo, furaha (happiness), Raha (rest) pasipo kuvunja Sheria namba 2 ya Katiba hii ambayo ni Kuhonga.

Hivyo kulingana na katiba Cha chama hiki; Sheria kuu namba mbili,ambayo ni Sheria mama inakataza tu Kuhonga kwani inasema

... Ni kheri mwanachama kutumia mapato yake kwa uwadilifu na Kwa wivu mkubwa, kwani upatikanaji wa mapato ni mgumu hivyo, ni marufuku Kuhonga, Bora kutumia Pesa hiyo kwa kuwapatia wazazi, walezi au wahitaji wasiojiweza.

Tukisimamia Sheria hizo mbili ni ruksa kunywa ila kwa ustarabu ila sio kumnunulia mwanamke pombe, hiyo kisheria inahesabika umehonga!
ishi Sana semaji la ma jobless pro max.
 
🤣Nje ya mada kidogo siku moja alikuja madam wa field shule yetu miaka pindi nipo form three enzi Tmk
Basi kwenye kuulizwa majina mawili mimi nikasema naitwa "alito "
Baba yangu anaitwa "mbaga"

Yule madam akaunganisha majina yangu akaliita kwa ujumla "Aya darasa mpigieni makofi " alitombaga"🤣watu wote hoi kwa vicheko
ubahili ni nini?, ubahili ni kupangilia kila shilingi au resource yoyote inayo pita mikononi mwako.

Kitaalamu mtu bahili ana itwa mchumi.

je ubahili ni uchoyo?, la hasha ubahili ni sawa na kuji Kuna unapo weza.

ubahili ni kuji nyima kwa wakati fulani, kwa ajili ya mambo fulani.

MImi raisi wa ma jobless pro max, naji vunia kuwa bahili.
makutupora, Bolotoba
 
Mkuu! Uchoyo ni Nini?

Hakuna bahili mwenye vingi, kila bahili ana vichache na anatumia mbinu ya kiuchumi na unabahili kuvitunza hivyo vichache alivyo navyo!

Kila bahili anajua akipoteza alicho nacho ni ngumu kukipata Tena!

Nguvu ya mtu bahili, anayotumia kufanya ubahili kwa alicho nacho ni ndogo kulinganisha na Ile atakayotumia kukutafuta alichonacho kama atakipoteza!

Kila bahili anacho hicho tu! Hakuna kingine. Sio uchoyo ni nidhamu ya kutunza ulicho nacho.

Kwani Sheria inasema aliyenacho ataongezewa!

Uchoyo ni kuwa navyo vingiiii kiasi kwamba hata ukitoa hupati kudhurika katika mapato yako!

Sisi majobless ubahili ni Imani, ubahili ni sera ya maisha, ubahili ni itikadi yetu
Je bahili ni mbinafsi!?
 
Mkuu karibu sana katika chama!
Kadi unaipata hapa hapa kwa njia ya mtandao.

Mimi ndo msemaji wa CHAMA hiki na nafanya kazi kwa uwaminifu mkubwa chini ya Rais wangu wa majobless promax Intelligent businessman

Hakuna michango!
Hakuna fedhehea!
Hakuna Kuhonga!

Tunafurahia maisha sana katika chama hiki. Sera yetu Kubwa ni upendo, ubahili na mshikamano.

Tuna amini kuwa "HAKUNA MWANADAMU MKAMILIFU ILA TU WANATOFAUTINA UWAFADHALI ... "

KARIBU MKUU
Hakuna michango!
Hakuna fedhehea!
Hakuna Kuhonga!🤣
 
See ya Chama ... Inasema Upendo na Upendo unaanza na kujipenda wewe mwenyewe Kisha majobless wenzako!

Lazima umwangilie moyo ... Katika Katiba ya Chama ... Sheria namba 5 ibara ya 6 inasema;

Kila mwanachama atatumia rasilimali zake na vipato vyake katika kila jambo ambalo anaona linampa maendeleo, furaha (happiness), Raha (rest) pasipo kuvunja Sheria namba 2 ya Katiba hii ambayo ni Kuhonga.

Hivyo kulingana na katiba Cha chama hiki; Sheria kuu namba mbili,ambayo ni Sheria mama inakataza tu Kuhonga kwani inasema

... Ni kheri mwanachama kutumia mapato yake kwa uwadilifu na Kwa wivu mkubwa, kwani upatikanaji wa mapato ni mgumu hivyo, ni marufuku Kuhonga, Bora kutumia Pesa hiyo kwa kuwapatia wazazi, walezi au wahitaji wasiojiweza.

Tukisimamia Sheria hizo mbili ni ruksa kunywa ila kwa ustarabu ila sio kumnunulia mwanamke pombe, hiyo kisheria inahesabika umehonga!
Lazima umwangilie moyo! Naomba kadi fasta😋
 
🤣Nje ya mada kidogo siku moja alikuja madam wa field shule yetu miaka pindi nipo form three enzi Tmk
Basi kwenye kuulizwa majina mawili mimi nikasema naitwa "alito "
Baba yangu anaitwa "mbaga"

Yule madam akaunganisha majina yangu akaliita kwa ujumla "Aya darasa mpigieni makofi " alitombaga"🤣watu wote hoi kwa vicheko
Kumbe ndio maana kuna kampuni inaitwa Alitop..
 
Ewe makutupora msemaji wa chama Cha ma jobless pro max, njoo ujibu swali.
Hakika Mh. Rasi wa Majobless Promax

Mbahili sio Mbinafsi! Nakumbuka hutba ya mwalimu Nyerere aliwahi kusema kuwa

Ukiondoa matatizo mengine kama njaa, majanga na nzige, jambo lingine linatokwamisha maendeleo ya nchi ni ubinafsi

Aliyasema katika Kitabu Cha tujisahihishe!

Mtu anayeweza kuiba fedha ya umma ili kujlimbikizia Mali na kuacha watu wakafa pasipo kupata matibabu huyo ndo mbinafsi

Sisi wabahili ambao ni majobless sera ya ya chama ni upendo, umoja na mshikamano mbali na vidogo na vichache tulivyo navyo tunatoa kwa ajili ya wazazi, walezi na wahitaji
Hivyo sisi sio wabinafsi
 
Back
Top Bottom