Tafiti inasema Binadamu huwa na wastani wa Kukoswa na Kifo Mara Sita, Mimi zimebaki Tatu!, wewe je?

kwa maelezo yako nimegundua bado una umri mdogo. kama sijakosea wewe ni kijana uliyezaliwa mid 90s.

"uza mechi" kwanza kwa mademu 20 au zaidi halafu uje utupe tathimini yako ya kukwepa kifo.[emoji23]
 
Ni tathmini tu hizo mkuu sio perfect 100%
 
Mwaka 1996,Mimi, mama na bro wangu tuliumwa sana. Sijui ilikuwa nini..bro akafariki(RIP). Mi na bi mkubwa tukapona kwa dawa za kienyeji zile za kuvukiza.
Kila nikikumbuka naona kama ajabu kuwa hai leo hii.
Daah Poleni sana Mkuu, Kaka Apumzike kwa Amani.
 
Kifo kikikujia njia yako huwa hakina kona
Unapaswa kusema umekoswa kuingia kwenye majanga makubwa ya kuhuzunisha kwa neema za Mungu maana kuumwa mahututi sio dalili ya kifo wala kupatwa na gumu lolote
 
Kifo kikikujia njia yako huwa hakina kona
Unapaswa kusema umekoswa kuingia kwenye majanga makubwa ya kuhuzunisha kwa neema za Mungu maana kuumwa mahututi sio dalili ya kifo wala kupatwa na gumu lolote
Mkuu kuna wakati unaumwa hadi unasema Hapa siponi asee
 
Unamjua Fiedel Castro? Najua unamjua.....huyo ndiye gwiji la kukoswakoswa na kifo!!!
 
Tafiti za wadhungu na waafrika ziko tofauti walahi!
Uwongo mtupu!
 
Unamjua Fiedel Castro? Najua unamjua.....huyo ndiye gwiji la kukoswakoswa na kifo!!!
Bwana Castro inaaminika alikoswa na Kifo mara 562, Mungu Ampumzishe kwa amani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…