iArmaniAdamson
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 944
- 289
HII NI HABARI NJEMA KWA WASIOPENDA UNENE NA WANAOTAKA WASIPATWE MAGONJWA YA KISASA!
Kwa miaka sita iliyopita duniani tatizo la kisukari limeongezekwa kiasi cha asilimia 600%.
Wataalamu wamegundua kwamba, aina ya vyakula sasa hivi vina asilimia kubwa sana za wanga (Carbs) kuliko miaka ya zamani.
Dr. Sally Hallberg amesema kwamba tofauti na mazoea ya watu wengi, ugonjwa huu unasababishwa na mwanadamu kula wanga mwingi kuliko kiasi kinachohitajika mwilini.
mwanadamu anachohitaji zaidi ni Protini, Mafuta na Vitamini - kwa maana nyingine vyakula kama mchele/wali, mkate, pasta, pizza, viazi mviringo, noodles, ugali na mikate isiyotowa chachu (naan) ni VITU VYA KUEPUKA KABISA ili usipate tatizo hili.
Badala yake ule vyakula vyenye protini kubwa kama nyama na mayai, na pia ule mboga za majani nyingi zaidi na matunda, jambo zuri ni kwamba, kuna kiasi cha wanga pia kiko kwenye mboga za majani:-
Kwa miaka sita iliyopita duniani tatizo la kisukari limeongezekwa kiasi cha asilimia 600%.
Wataalamu wamegundua kwamba, aina ya vyakula sasa hivi vina asilimia kubwa sana za wanga (Carbs) kuliko miaka ya zamani.
Dr. Sally Hallberg amesema kwamba tofauti na mazoea ya watu wengi, ugonjwa huu unasababishwa na mwanadamu kula wanga mwingi kuliko kiasi kinachohitajika mwilini.
mwanadamu anachohitaji zaidi ni Protini, Mafuta na Vitamini - kwa maana nyingine vyakula kama mchele/wali, mkate, pasta, pizza, viazi mviringo, noodles, ugali na mikate isiyotowa chachu (naan) ni VITU VYA KUEPUKA KABISA ili usipate tatizo hili.
Badala yake ule vyakula vyenye protini kubwa kama nyama na mayai, na pia ule mboga za majani nyingi zaidi na matunda, jambo zuri ni kwamba, kuna kiasi cha wanga pia kiko kwenye mboga za majani:-
Last edited by a moderator: