Utafiti hupingwa na utafiti
Chuo kikuu hicho kimesema ikiwa wakoloni waliweza kufanya maendeleo makubwa kuliko tawala za wazawa.
Watafiti wakasema " Usimamizi mbovu wa rasilimali za nchi za kiafrika ni tatizo jingine"
Watafiti wanasema matumizi ya fedha nyingi Kwa viongozi hupelekwa kwenye mambo yasiyo ya maendeleo hiyo huzidisha umaskini zaidi.
Watafiti wametolea mfano misafara mikubwa ya viongozi wa afrika hupoteza pesa nyingi sana na kupotezea muda wa uzalishaji wananchi wao kwani wananchi hukaa wakisubiri viongozi wapite,
Watafiti wanadai katika kila pesa 100% ni asilimia 20% hadi 30% huenda kwenye maendeleo na asilimia 60 hadi 70 ni matumizi yasiyo na tija.
Chuo kikuu hicho kimesema ikiwa wakoloni waliweza kufanya maendeleo makubwa kuliko tawala za wazawa.
Watafiti wakasema " Usimamizi mbovu wa rasilimali za nchi za kiafrika ni tatizo jingine"
Watafiti wanasema matumizi ya fedha nyingi Kwa viongozi hupelekwa kwenye mambo yasiyo ya maendeleo hiyo huzidisha umaskini zaidi.
Watafiti wametolea mfano misafara mikubwa ya viongozi wa afrika hupoteza pesa nyingi sana na kupotezea muda wa uzalishaji wananchi wao kwani wananchi hukaa wakisubiri viongozi wapite,
Watafiti wanadai katika kila pesa 100% ni asilimia 20% hadi 30% huenda kwenye maendeleo na asilimia 60 hadi 70 ni matumizi yasiyo na tija.