Tafsiri halisi ya neno Mswahili

Tafsiri halisi ya neno Mswahili

mswahili kwa kawaida,
1. mtu wa pwani, anayepiga porojooo, akianza kuongea hapa maneno hayaishi
2. mswahili ni mtu msanii, mtanzania msaniii anayeweza kukuingiza mjini kwa maneno usipokuwa makini.
3. mswahili mtu masikini anayeishi uswahilini kama vile mbagala, manzese, magomeni etc..ulishawai kuishi na mzaramo kwenye nyumba moja? utajuta kumfahamu, hadi watoto wanaharibika tabia kutokana na maneno yanayotoka mdomoni mwake....

4. mswahili ni mtu anayependa madawa ya kienyenye, ya kiswahili...hasa wanawake wanaoweka limbwata..dah, nyingine malizieni...

5. mswahili ni mtu mvivu, anayetandika mkeka, kucheza bao tu alafu mwishowe anakuja kulalamikia umasikini na kuwaonea wivu waliokuwa wakipiga kazi..
 
mswahili kwa kawaida,
1. mtu wa pwani, anayepiga porojooo, akianza kuongea hapa maneno hayaishi
2. mswahili ni mtu msanii, mtanzania msaniii anayeweza kukuingiza mjini kwa maneno usipokuwa makini.
3. mswahili mtu masikini anayeishi uswahilini kama vile mbagala, manzese, magomeni etc..ulishawai kuishi na mzaramo kwenye nyumba moja? utajuta kumfahamu, hadi watoto wanaharibika tabia kutokana na maneno yanayotoka mdomoni mwake....

4. mswahili ni mtu anayependa madawa ya kienyenye, ya kiswahili...hasa wanawake wanaoweka limbwata..dah, nyingine malizieni...

5. mswahili ni mtu mvivu, anayetandika mkeka, kucheza bao tu alafu mwishowe anakuja kulalamikia umasikini na kuwaonea wivu waliokuwa wakipiga kazi..


"tatizo kwende Mbagala"
"hapa nyumba mbele jalaaa"
hahha lol
 
mswahili kwa kawaida,
1. mtu wa pwani, anayepiga porojooo, akianza kuongea hapa maneno hayaishi
2. mswahili ni mtu msanii, mtanzania msaniii anayeweza kukuingiza mjini kwa maneno usipokuwa makini.
3. mswahili mtu masikini anayeishi uswahilini kama vile mbagala, manzese, magomeni etc..ulishawai kuishi na mzaramo kwenye nyumba moja? utajuta kumfahamu, hadi watoto wanaharibika tabia kutokana na maneno yanayotoka mdomoni mwake....

4. mswahili ni mtu anayependa madawa ya kienyenye, ya kiswahili...hasa wanawake wanaoweka limbwata..dah, nyingine malizieni...

5. mswahili ni mtu mvivu, anayetandika mkeka, kucheza bao tu alafu mwishowe anakuja kulalamikia umasikini na kuwaonea wivu waliokuwa wakipiga kazi..

Mkuu,
jielimishe, usitukane watu kwa sababu tu wewe si mswahili wa asili.
Swahili people - Wikipedia, the free encyclopedia

Who are then are the Swahili?
 
mswahili kwa kawaida,
1. mtu wa pwani, anayepiga porojooo, akianza kuongea hapa maneno hayaishi
2. mswahili ni mtu msanii, mtanzania msaniii anayeweza kukuingiza mjini kwa maneno usipokuwa makini.
3. mswahili mtu masikini anayeishi uswahilini kama vile mbagala, manzese, magomeni etc..ulishawai kuishi na mzaramo kwenye nyumba moja? utajuta kumfahamu, hadi watoto wanaharibika tabia kutokana na maneno yanayotoka mdomoni mwake....

4. mswahili ni mtu anayependa madawa ya kienyenye, ya kiswahili...hasa wanawake wanaoweka limbwata..dah, nyingine malizieni...

5. mswahili ni mtu mvivu, anayetandika mkeka, kucheza bao tu alafu mwishowe anakuja kulalamikia umasikini na kuwaonea wivu waliokuwa wakipiga kazi..

................... mwenye TABIA tofauti na 1 mpaka 5. anaitwa nani ??! mboni kaaaazi !:A S 39:
 
Wanajf naomba tu share changamoto niliokutana nayo. Leo asubuhi nikiwa kwenye daladala naelekea mjini kati. Baada ya kuwaza na kuwazua, karibu yangu alisimama mtoto wa kike I think she is at 7 or 8 aliyekuwa amevaa sare za shule.

Kwa kuhisi kuwa yuko embarased kutokana na foleni, nikaamua kum keep bize kwa kumpa recognition kwa kumuuliza maswali ya kitoto ya hapa na pale ali mradi tu tufike bila ya uchovu. Unaishi wapi, Unaitwa nani, unasoma shule gani na darasa la ngapi. Nikamuuliza huku nikiwa sina uhakika kama nitajibiwa vizuri swali langu. Nilishtushwa na uwezo mkubwa wa kujieleza baada ya kujibu kwa ufasaha maswali yangu ya mpigo. Du!! Nikajiona Chief mzima napigwa TKO kutokana na jibu la mtoto kwani wahenga walisema kuwa jibu likisadifu swali, ni kama kiu iliyokatwa kwa maji safi ya kisima cha chemchem.

Mtu mzima sikutaka kushindwa kirahisi.nikamuuliza swali lingine ambalo niliamini kuwa litamsumbua kutokana na umri wake. " Umesema unaishi Kimara, Wewe ni kabila gani?" Huku nikitegemea jibu la "Mimi ni Mchaga" kutokana na maeneo mengi ya Kimara kugeuzwa kuwa mashamba ya Migomba kutokana na kukaliwa na Wachaga wengi, nilishangaa kusikia jibu alilolitoa yule mtoto. Kwa kujiamini alijibu "Mimi ni Mswahili" Huku nikiwa siamini masikio yalichosikia, nikamuuliza tena. "Umesema wewe ni kabila gani?" Akijibu kwa msisitizo na kujiamini, alisema "Mimi ni Mswahili" Nikajiona Chief mzima leo ninalo.

Nikajitutumua na kuuliza tena. "Kwa nini unasema wewe ni Mswahili. Kwani baba yako ni kabila gani." Kwa kujiamini akajibu. "Baba yangu ni Mhehe na Mama yangu ni Msukuma. Na kwa kuwa wazazi wangu ni makabila tofauti, mimi ni Mswahili kwa kuwa sifuati mila yoyote wala situmii lugha yoyote ya wazazi wangu zaidi ya Kiswahili".

Ghafla nikasikia sauti ya Konda, "Akiba wa kushuka". Nikajibu "tupo" bila ya kujali kuwa sikutumwa na mtu yeyote kumjibia. Nikashuka zangu huku nikijiuliza MSWAHILI NI NANI?

Neno mswahili linaweza kuwa na maana mbali achilia mbali maana aliyokujibu huyo mtoto. Mswahili anaweza kuwa mswahili na anakabila nyingine pia. Hapa neno mswahili linaweza kutumika sio kwa maana ya kabila bali lugha tu. Kwamba mtu anayezungumza kiswahili kama moja ya lugha zake kuu za mawasiliano.

Lakini pia mswahili linaweza kutumika kama kabila japo ugumu unaweza kuja katika kuelezea ni zipi mila za mswahili? Huyu mtoto yeye alikuwa anaishi Kimara na wazazi wake, mmoja msukuma na mwingine mhehe. Yeye hajawahi kuishi Iringa wala Shinyanga. Hazungumzi kisukuma wala kihehe. Hazijui wala kuzifuata mila za kabila lolote kati ya haya. Lakini mtoto wa kiswahili anayeishi Masaki (kama hataathiriwa na mila binafsi za wazazi wake) anaweza kuwa tofauti na mswahili mwenzake wa Manzese au Buguruni. Sasa sijui tutasema kwamba huyu mtoto ana lugha lakini hana kabila? Maana Ulaya kuna watu wana lugha lakini hawana kabila. Je ukabila unarithiwa kama ilivyo utaifa (japo mtoto akijilipua na kuvaa uingereza) anaweza kukoma kuwa mtanzania hata kama wazazi wake wote watanzania. Je mtu anaweza kuwa sehemu ya kabila fulani kwaajili ya kuzaliwa na kukulia katika mila za kabila hilo kama ilivyo kwa mtu kupata uraia wa nchi fulani kwa sababu ya kuzaliwa na kukulia katika nchi hiyo? Ili mradi kuna maswali mengi ya kujiuliza na kutafakari kabla hatujafikia jibu.
 
tuseme karibia watu wote wa Tz wanazungumza kiswahili , je ni sahihi kuwaita wote waswahili ? ama waswahili ni wale tu ambao wana asili ya mrima / mwambao ? naomba ufafanuzi ....
 
mswahili ni mtu mwenye asili ya uswahili....
lakini maana inabadilika kulingana na matumizi....

wakati mwingine maana yake ni mtu mweusi...
au mtu masikini
au mtu wa pwani ya africa mashariki
au mtu mbabaishaji
au mtu wa africa mashariki...n.k
 
Mswahili ni yule anaetumia maji kujisafishia baada ya kwenda haja kubwa.
Waswahili wanaishi sehemu za mwambao wa Afrika mashariki.Pia kiswahili ndio lugha yao ya uzawa.
 
waswahili ni watu wanaoishi pwani ya africa mashariki pamoja na visiwani... ni kweli nonda allivosema hapo juu waswahili wana ustaarabu wao pamoja na kutumia maji wanapomaliza haja kubwa! waswahili wakiongea kiswahili basi hutopenda amalize nenda kamsekilize muunguja an mdigo wa kule tanga pamoja na mombasa.. wanaongea lugha moja tamu sana ,... kuliko wale wa kutoka nyanda za juu "bara" wasukuma na wengineo ..
 
Mswahili ni yule anaetumia maji kujisafishia baada ya kwenda haja kubwa.
Waswahili wanaishi sehemu za mwambao wa Afrika mashariki.Pia kiswahili ndio lugha yao ya uzawa.

Bwana Nonda!!
Nafikiri umetoa majibu mepesi.
Hebu fikiria haya maswali hapa chini yaliyotokana na majibu yako:

"mwambao wa pwani" ni eneo la umbali gani kutoka baharini? 2km, 10km, 200km, 1000km? Je waluguru (about 200km from indian ocean) ni waswahili iwapo wanatumia maji baada ya kwenda haja kubwa?

Je nikiwa nimehamia na wazazi wangu kutoka Lubumbashi zaire, na sasa tunaishi Mwananyamala na tunatumia maji kutawaza, tunaongea kiswahili vizuri lakini bado tunaongea na kilingala chetu, je sisi ni waswahilli?

Je nikiwa mhamiaji kutoka Pakistani au Misri na ninaishi Mombasa au Lamu, na nitawaza kwa maji na ninaongea na kuandika na kusoma kiswahili vizuri, je mimi mimi ni mswahili?
 
Bwana Nonda!!
Nafikiri umetoa majibu mepesi.
Hebu fikiria haya maswali hapa chini yaliyotokana na majibu yako:

"mwambao wa pwani" ni eneo la umbali gani kutoka baharini? 2km, 10km, 200km, 1000km? Je waluguru (about 200km from indian ocean) ni waswahili iwapo wanatumia maji baada ya kwenda haja kubwa?

Je nikiwa nimehamia na wazazi wangu kutoka Lubumbashi zaire, na sasa tunaishi Mwananyamala na tunatumia maji kutawaza, tunaongea kiswahili vizuri lakini bado tunaongea na kilingala chetu, je sisi ni waswahilli?

Je nikiwa mhamiaji kutoka Pakistani au Misri na ninaishi Mombasa au Lamu, na nitawaza kwa maji na ninaongea na kuandika na kusoma kiswahili vizuri, je mimi mimi ni mswahili?

Ndugu Nanren.

Uswahili ni kama kabila.
Wenye uasili wa uswahili ni kama nilivyoeleza.(wengi ni kizazi cha mchanganyiko wa makabila na races tofauti)
Kuna "gray areas" kama ulizozitaja au ulizoziuliza.

Katika makabila mengi, mtu wa nje ya kabila huweza kukubalika kuwa ni mmoja wao kwa kupata,kufanyiwa "initiation", kufinyangwa, kubatizwa au "naturalisation".

Kama mtu akitimiza vigezo hivyo vya kuwa mswahili na wenyewe waswahili wa asili wakimkubali basi atakuwa ni mmoja wao.

Nakumbuka zamani kulikuwa na mwalimu, mzungu , UDSM, aliandika vitabu, alijiita "baba malaika". Alioa mtanzania na alipata watoto..lakini baba malaika anajinadi kuwa ni mtanzania.
Watoto wa Dr. Remmy ni kabila gani? je ni watanzania?

Natumai nimeongeza ugumu wa kumtambua nani mswahili!
 
Ndugu Nanren.

Uswahili ni kama kabila.
Wenye uasili wa uswahili ni kama nilivyoeleza.(wengi ni kizazi cha mchanganyiko wa makabila na races tofauti)
Kuna "gray areas" kama ulizozitaja au ulizoziuliza.

Katika makabila mengi, mtu wa nje ya kabila huweza kukubalika kuwa ni mmoja wao kwa kupata,kufanyiwa "initiation", kufinyangwa, kubatizwa au "naturalisation".

Kama mtu akitimiza vigezo hivyo vya kuwa mswahili na wenyewe waswahili wa asili wakimkubali basi atakuwa ni mmoja wao.

Nakumbuka zamani kulikuwa na mwalimu, mzungu , UDSM, aliandika vitabu, alijiita "baba malaika". Alioa mtanzania na alipata watoto..lakini baba malaika anajinadi kuwa ni mtanzania.
Watoto wa Dr. Remmy ni kabila gani? je ni watanzania?

Natumai nimeongeza ugumu wa kumtambua nani mswahili!

Ni kweli umeongeza ugumu.
Katika kuishi kwangu na kutembelea pwani ya tanzania bara, mimi sijawahi kukutana na mtu anayejitambulisha kabila kama "mswahili". Nimekutana na wazaramo, wakwere, wang'indo, makonde, wazigua, wabondei, wakutu, wadigo. Hata watu ambao kwa muonekano wanaonekana kuwa ni mchanganyiko wa mweusi na watu wa asia, bado wanajitambulisha kwa makabila mengine, na aghalabu kuna wanaojinadi kuwa ni wangazija, waarabu, nk. Waswahili kwa kabila sijawahi kukutana nao.

Na tukirudi kwenye kigezo cha umwambao, hivi mtu mwenye asili ya mwambao akihamia Tabora na kuendelea kuishi huko, "uswahili" wake unapotea?

Nafikiri kuna haja ya kuki-define "kiswahili" kwanza. Mtazamo wa watu wengi wa mwambao, ni kuwa hiyo ni lugha na fahari yao. Hii haina ubaya. Ila nafikiri, in their subconscious mind, wanajaribu kuihodhi na kuifanya yao exclusively, na kuona kwamba watu makabila mengine hayana chao katika kiswahili (kumbuka kuna over 50% kibantu). Mimi naona tukubali historia kuwa kiswahili ASILI YAKE ni MWAMBAO wa afrika Mashariki. Lakini haina maana kwa sasa kufikiri kuwa watu walioko mashariki ya DRC hawaongei kiswahili. Ni kiswahili tu, hata kama sio sawa na tunachokijua. Huwa kuna dialects na accent katika lugha zote. Ndio maana waingereza pamoja na kujua kuwa kiingereza kama lugha kimetokea kwao, bado wanatambua kuwa kiingereza cha Australia, India, America bado ni kiingereza tu.

Tukisha kubali kuwa kiswahili kama lugha haimilikiwi na watu, hapo tunaweza kujaribu ku-define mswahili ni nani.
 
Mswahili ni yule anaetumia maji kujisafishia baada ya kwenda haja kubwa.
Waswahili wanaishi sehemu za mwambao wa Afrika mashariki.Pia kiswahili ndio lugha yao ya uzawa.

duu! kama hutumii maji kuchambia nadhani mpododo wako utakuwa unanuka kimavi full time labda mpaka utakapooga! we unadhani kutumia toilet paper pekee ndo mpango mzima? toilet paper inatumika kupunguza' makali' ya mabaki ya mavi kwenye mpododo then ndo unamalizia na maji, au mkuu bado hujaona kwenye vyoo vya kisasa kunakuwa na pipe inatoa water jet kwa pressure kwa ajili ya kujiswafi kunako sehemu? pole sana kwa kutembea na mabaki ya kinyesi mpododoni kila siku, ushauri wa bure huo na kwa wengine ambao hawajastaarabika kama wewe, mwenyewe umeulamba uko zako down town kwenye michakaliko kumbe una chembechembe za kinyesi matakoni!
 
Ni kweli umeongeza ugumu.
Katika kuishi kwangu na kutembelea pwani ya tanzania bara, mimi sijawahi kukutana na mtu anayejitambulisha kabila kama "mswahili". Nimekutana na wazaramo, wakwere, wang'indo, makonde, wazigua, wabondei, wakutu, wadigo. Hata watu ambao kwa muonekano wanaonekana kuwa ni mchanganyiko wa mweusi na watu wa asia, bado wanajitambulisha kwa makabila mengine, na aghalabu kuna wanaojinadi kuwa ni wangazija, waarabu, nk. Waswahili kwa kabila sijawahi kukutana nao.

Na tukirudi kwenye kigezo cha umwambao, hivi mtu mwenye asili ya mwambao akihamia Tabora na kuendelea kuishi huko, "uswahili" wake unapotea?

Nafikiri kuna haja ya kuki-define "kiswahili" kwanza. Mtazamo wa watu wengi wa mwambao, ni kuwa hiyo ni lugha na fahari yao. Hii haina ubaya. Ila nafikiri, in their subconscious mind, wanajaribu kuihodhi na kuifanya yao exclusively, na kuona kwamba watu makabila mengine hayana chao katika kiswahili (kumbuka kuna over 50% kibantu). Mimi naona tukubali historia kuwa kiswahili ASILI YAKE ni MWAMBAO wa afrika Mashariki. Lakini haina maana kwa sasa kufikiri kuwa watu walioko mashariki ya DRC hawaongei kiswahili. Ni kiswahili tu, hata kama sio sawa na tunachokijua. Huwa kuna dialects na accent katika lugha zote. Ndio maana waingereza pamoja na kujua kuwa kiingereza kama lugha kimetokea kwao, bado wanatambua kuwa kiingereza cha Australia, India, America bado ni kiingereza tu.

Tukisha kubali kuwa kiswahili kama lugha haimilikiwi na watu, hapo tunaweza kujaribu ku-define mswahili ni nani.
Ndugu Nanren,

Kwanza isome thread ilipoanzia.Mwanzisha thread ametaka kujuanani mswahili na asili yake.
Mswahili ni mtu wa mwambao wa Afrika mashariki ambaye lugha yake ya uzawa ni kiswahili.
Bila shaka kuna wazungumzaji wengi wa kiswahili lakini sio kila mzungumzaji wa kiswahili ni mswahili.

katika dhana ya kileo ya "duality", je mswahili pia anaweza kuwa mchaga? mmakonde? .Hili linazungumzika nadhani.

Hili la lahaja za kiswahili halina ubishi,lahaja zipo njingi.
Umeshasema mlingala anazungumza kilingala,kama kilingala kitaalamu,ikiisimu inakubalika ni lahaja ya kiswahili basi atakuwa ni mzungumzaji wa kiswahili lakini si mswahili.

Mswahili si lugha tu,ni utamaduni wake na vikorombwezo,vipambio vyengine.

Kikawaida "aliyemo hatoki na asiyekuwemo haingii" lakini wenyewe wakikubali kumuingiza na kumkubali kama mmoja wao nani hapo atakuwa na haki ya kupinga?

Waswahili wengi wanajaribu kukimbia kujiita waswahili kutoka na tafsiri potofu, mbaya inayonasibishwa na matumizi ya neno "mswahili".

Angalia post#2.
 
Ni kweli umeongeza ugumu.
Na tukirudi kwenye kigezo cha umwambao, hivi mtu mwenye asili ya mwambao akihamia Tabora na kuendelea kuishi huko, "uswahili" wake unapotea?

Nafikiri kuna haja ya kuki-define "kiswahili" kwanza. Mtazamo wa watu wengi wa mwambao, ni kuwa hiyo ni lugha na fahari yao. Hii haina ubaya. Ila nafikiri, in their subconscious mind, wanajaribu kuihodhi na kuifanya yao exclusively, na kuona kwamba watu makabila mengine hayana chao katika kiswahili (kumbuka kuna over 50% kibantu). Mimi naona tukubali historia kuwa kiswahili ASILI YAKE ni MWAMBAO wa afrika Mashariki.
Tukisha kubali kuwa kiswahili kama lugha haimilikiwi na watu, hapo tunaweza kujaribu ku-define mswahili ni nani.

Pitia hizi threads
https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/103766-mswahili-ni-nani-2.html#post1515895

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-lugha/93499-waswahili-tunatawaliwa-na-waarabu-2.html

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-because-it-is-purely-arabic.html#post1358987
 
Waswahili ni wabantu hususani wenyeji wa pwani ya Afrika mashariki na kaskazini mwa msumbiji,ni wenye kufanana utamaduni na hutumia kiswahili kama lugha mama.na ukitazama neno swahili ambalo kwa upeo wangu naamini ndio limezaa waswahili,na neno swahili asili yake ni neno la kiaarabu 'sawahil' likiwa na maana wenyeji wa pwani.na kadiri kiswahili kinavyozidi kupanuka na waswahili nao wanaongezeka.
Na pia ipo ingawa sio rasmi wakati mwingine ipo hali inayo pelekea mtu kuitwa mswahili,ukiwa ni mtu wa kila utakachoambiwa basi wewe lazima ulete nahau kugeuzageuza maneno ndio ukubali utaitwa mswahili, au ukiambiwa njoo saa nne unakuja saa tano unaitwa mswahili.
 
tuseme karibia watu wote wa Tz wanazungumza kiswahili , je ni sahihi kuwaita wote waswahili ? ama waswahili ni wale tu ambao wana asili ya mrima / mwambao ? naomba ufafanuzi ....

Consensus is that Swahili are CULTURAL TRIBE brought together by modern enviroment rather than tribe created by distant biological lineage ie Swahili are descendants of all those who lived on coast during the trading times of a couple of thousand years.(New kid on Block ?)
 
Mtu wa Pwani pia ajitokeze.

Bwana Nonda. Nakushukuru kwa majibu.
Next, ningependa tusaidiane, maana ya PWANI. Ni umbali gani kutoka baharini? Hivi ukichukua kisiwa kama Madagascar, kwa mfano, je chote kinakuwa ni sehemu ya pwani? au ni umbali kadhaa kutoka baharini? Na visiwa vya zanzibar? Ukiwa Zanzibar kwenye nchi kavu, unakuwa ndani ya pwani? au kunakuwa na kaeneo fulani kutoka baharini kanakoitwa pwani (within Zanzibar). Sitoki nje ya mada, nahitaji tu-define pwani maana yake nini, halafu tujue watu wa pwani ni watu gani, ili tuzidi kuelewa zaidi kuhusu mswahili.
 
Back
Top Bottom