TAFSIRI kuhusu maamuzi mabovu yanayo fanywa na waamuzi kuipendelea Simba

TAFSIRI kuhusu maamuzi mabovu yanayo fanywa na waamuzi kuipendelea Simba

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Ni kwamba tu Watanzania hatujui kusoma body language wala facial expression. Achilia mbali Telepathy

Ni hivi hayo maamuzi mabovu yanayo fanywa na Marefa in favour of Simba ni ujumbe anapewa Injinia.

" Kwamba, wewe Injinia si unajifanya hautoi hela kwa marefa, sasa wacha tukukomeshe"
Incase Injinia u don't get the message Mimi Mbaroko ndo nakujulisha".

Anza " kucheza" mechi za Simba.

Marefa wa Tz ni kama watoto wa kike. All they need is money.

" Nothing in this world can take the place of money in an area where money works "
 
1000316377.jpg
 
Ni kwamba tu Watanzania hatujui kusoma body language wala facial expression. Achilia mbali Telepathy

Ni hivi hayo maamuzi mabovu yanayo fanywa na Marefa in favour of Simba ni ujumbe anapewa Injinia.

" Kwamba, wewe Injinia si unajifanya hautoi hela kwa marefa, sasa wacha tukukomeshe"
Incase Injinia u don't get the message Mimi Mbaroko ndo nakujulisha".

Anza " kucheza" mechi za Simba.

Marefa wa Tz ni kama watoto wa kike. All they need is money.

" Nothing in this world can take the place of money in an area where money works "
1000211276.jpg
 
Kwa hiyo leo Simba kabebwa sehemu gani?
 
Ni kwamba tu Watanzania hatujui kusoma body language wala facial expression. Achilia mbali Telepathy

Ni hivi hayo maamuzi mabovu yanayo fanywa na Marefa in favour of Simba ni ujumbe anapewa Injinia.

" Kwamba, wewe Injinia si unajifanya hautoi hela kwa marefa, sasa wacha tukukomeshe"
Incase Injinia u don't get the message Mimi Mbaroko ndo nakujulisha".

Anza " kucheza" mechi za Simba.

Marefa wa Tz ni kama watoto wa kike. All they need is money.

" Nothing in this world can take the place of money in an area where money works "
Yanga mwenzangu. Ile penalty ni halali wala haina haja ya kuwashtua jamaa walalamike juzi tulifunga goal la mkono.
 
Ni kwamba tu Watanzania hatujui kusoma body language wala facial expression. Achilia mbali Telepathy

Ni hivi hayo maamuzi mabovu yanayo fanywa na Marefa in favour of Simba ni ujumbe anapewa Injinia.

" Kwamba, wewe Injinia si unajifanya hautoi hela kwa marefa, sasa wacha tukukomeshe"
Incase Injinia u don't get the message Mimi Mbaroko ndo nakujulisha".

Anza " kucheza" mechi za Simba.

Marefa wa Tz ni kama watoto wa kike. All they need is money.

" Nothing in this world can take the place of money in an area where money works "
Hapana,hivi unaweza kuamini maagizo ya kuibeba Simba msimu huu yametoka Jumba jeupe?!
 
How? And why?
Ushabiki tu hakuna cha maana,kwanza aliwahi kusema hili Msimbazi pawe vizuri inabidi Mlio wa Ng'ombe aachie timu (sijui aliwaza nini hapa) baada ya siku chache walikaa na mlio kuona wanawezaje kuliweka sawa hili suala,mlio akapewa mission mwaka huu afanye juu chini ahakikishe Timu inakaa level na haga akikwama kwenye usajili aseme anataka mchezaji gani jumba jeupe litatoa hela..Haya mambo mnayoyaona kwa sasa msifikiri yanatokea kwa bahati mbaya haya maelekezo wanayo FFT,baadhi ya wachezaji wa timu za ligi kuu,na baadhi ya marefa.Usije ukashangaa kuna marefa wakawa wanajirudia kwenye mechi za Simba..One day utairudia hii comment LIKUD ingawa kuna watu watapita na kusema hii ni chai
 
Ushabiki tu hakuna cha maana,kwanza aliwahi kusema hili Msimbazi pawe vizuri inabidi Mlio wa Ng'ombe aachie timu (sijui aliwaza nini hapa) baada ya siku chache walikaa na mlio kuona wanawezaje kuliweka sawa hili suala,mlio akapewa mission mwaka huu afanye juu chini ahakikishe Timu inakaa level na haga akikwama kwenye usajili aseme anataka mchezaji gani jumba jeupe litatoa hela..Haya mambo mnayoyaona kwa sasa msifikiri yanatokea kwa bahati mbaya haya maelekezo wanayo FFT,baadhi ya wachezaji wa timu za ligi kuu,na baadhi ya marefa.Usije ukashangaa kuna marefa wakawa wanajirudia kwenye mechi za Simba..One day utairudia hii comment LIKUD ingawa kuna watu watapita na kusema hii ni chai
JF ndio imefikia huku!
 
Back
Top Bottom