Tafsiri kwa Picha!



Si ndo maana sheria zetu haziruhusu kulala nje manake kuna mambo kama haya....LOL
 
NYAMAYAO,
umeua mama.....!
yani umepoteza mbayaaaaaaaaaaaaaaa
 
Nyamayao.......duh umehitimu dada yangu loh hapa machozi yananitoka kwa kucheka. Ehee wajifanya kiuno kimeumia akikosea kukigusa hapo hapo na unatoa dozi kubwa ......lol


ehhh, saa huko mkishamaliza hicho kibarua ujue na matatizo yenu pia yamepata utatuzi, hapo mtaanza kuweka mezani kilichopelekea mgono etc, baada ya 1 hr haaa kila kitu shwari....inabidi wakati mwingine mtu uwe chizi tu sasa utafanyaje?
 




...mmnnnh, Nyamayao una mbinu kali! shida ya mtu kama wewe hubembelezeki kiurahisi.
" ...s'taki---- nataka--- s'taki!"...LOL!
ha ha ha ha!
bidada anaelekea kukubali na kutanua miguu very soon
 




...mmnnnh, Nyamayao una mbinu kali! shida ya mtu kama wewe hubembelezeki kiurahisi.
" ...s'taki---- nataka--- s'taki!"...LOL!

kaka....kuna wakati mtu unakuwa busy huko ndani wewe acha tu...mpaka kieleweke ndio kauli mbiu.
 
Nyamayao na MJ1..........you rock!!
Mmh.....sasa kuna mtu anatafuta 'somo' kwenye kitchen party yake....mnasemaje?!!
 
Mbona inasemekana mnaweza kukaa hadi miezi 6 ama tukiwepo ndo inakuwaga taab kabisa:smile-big:

my luv hapa tunaongelea tukiwa kwenye mitafaruku, sasa tunataka kutumia njia hii kutatua, bac week ni kuba sana kama haujakamilisha mpango...vinginevyo kama kuna peace mbona mtu unakaa tu.
 
my luv hapa tunaongelea tukiwa kwenye mitafaruku, sasa tunataka kutumia njia hii kutatua, bac week ni kuba sana kama haujakamilisha mpango...vinginevyo kama kuna peace mbona mtu unakaa tu.
miezi sita?........
 

@Kaizer...ha ha ha, umeshtukia ee? aaah...uzuri wao wote wawili hutumia lugha za khanga za mombasa. Kasheshe waje wanaoharibu lugha...wasojua tofauti ya 'kata na upawa!'
MwanajamiiOne darasa umelipenda, dont try that at home bana...he he he!
 
hahahahha hapa itavaliwa ya Congo.. mkaka asimame aliwa mtupu atembee chumba kizima akijipitisha pitisha huku akimtikisa tikisa mhshmiwa.... kitaeleweka tu! Hahahaha mi ctaki

Mbu kuna unachontafuta haki ya nani leo!!

Hakyanani MJ1 kweli leo umekunywa valuu yaani nimecheka mpaka basi nilikuwa najickia kahoma kwa mbali nako kameondoka mwe JF
 
my luv hapa tunaongelea tukiwa kwenye mitafaruku, sasa tunataka kutumia njia hii kutatua, bac week ni kuba sana kama haujakamilisha mpango...vinginevyo kama kuna peace mbona mtu unakaa tu.

Ahaaa.....kumbe!:tape:
 


......Mbu nshamwambia Mod kabisaaa BAN yangu utakula wewe maana ndo unayesababisha!!!

Hapa sijui ndo wako katika hatua ya mwisho ya mgomo na ya mwanzo ya kuumaliza tatizo sasa nani aanzishe ushirikiano? Hahaha mi ctaki uchokozi jamani!!​
 
Sasa hapa Mbu mkuu angalia Luv Nyamayao na switushka MJ1 wataihamisha hii sredi sasa hivi...au wanataka ban nn>LOL......

sema huu mgomo kuna wakati una adhari zake, ukikuta na yeye cku hiyo kichwa yake imekaa kushoto, bac imekula kwangu...lol...ndio jitahada za ziada znatakiwa kufanyia shap shap kuokoa jahazi.
 

Jamani kuna watoto hapa natamani hili li screen ningelibeba nikajibanze nalo ****** ili nikacheke kwa uhuru lol
 
Hakyanani MJ1 kweli leo umekunywa valuu yaani nimecheka mpaka basi nilikuwa najickia kahoma kwa mbali nako kameondoka mwe JF
Tatizo maty unakosea wewe unasoma post huku unajenga picha kabisa kichwani ........hahahaha

Mwenzangu hata sijijui, sijitambui sijui ndo mwaita hangover za Mountain Dew lol.. nyamayao huyo na Mbu wameanzisha.
 
......Mbu nshamwambia Mod kabisaaa BAN yangu utakula wewe maana ndo unayesababisha!!!

Hapa sijui ndo wako katika hatua ya mwisho ya mgomo na ya mwanzo ya kuumaliza tatizo sasa nani aanzishe ushirikiano? Hahaha mi ctaki uchokozi jamani!!

c umeona mdada kama ameanza ku smile? bac hapo kaka anahokoza anaacha anachokoza anaacha, sasa mdada temp ipo kiwango cha juu, hataki kuanza anataka alieanza amalizie, huyo kaka nae kazubaa, ikifikia hapo mkaka akijaribu tu kugusa kidogo mambo shwari, au mdada akiona amechokozwa halafu mkaka kakaa dk tano hajaendelea na uchokozi nae anamuhitaji ndio zile unanyanyuka kwenda toilet bac c unampitia kwa juu? hapo hapo unajifanya kama umeshuka kitandani vibaya...bac atakudaka....endelea na filamu hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…