Amani Msumari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 1,830
- 972
- Thread starter
-
- #61
Umeona eehπππ we jamaa unafurahisha sana, itakuw ulikuwa hupend history ukiwa shule
Ha ha haa Mkuu mbona unajihami! Niko objective katika hili, Mkuu...this should not be a partisan issue.
Ha ha haa Mkuu mbona unajihami! Niko objective katika hili, Mkuu.
Thibitisha hilo,hawa mabeberu wanafanya yote hayo serikali ikiwa wapi?Incompetence of our organs?Mabeberu wajanja sana, wanamtandika mtu risasi za kuwindia ndege na sehemu wanayolenga ni miguu ili asife, kisha hao hao wanamtibia kwao huko wanampandikiza chuki kwa nchi yake kisha wanamtumia. Mazwazwa bila kujua wanaunga tela kumbe mtu wao mabeberu wameishamuwekea memory card mpya kwenye kichwa chake na uraia wameishampa iwapo mambo yakienda kombo anarudi kwa waliomtumia!
Naona huna hoja unajambajamba tu. Kwa HERI πππππHii ni lishaizungumzia umetumia silaha ya kujengea mtu hofu kumshambulia Mh Rais wa JMT na Amiri Jeshi Mkuu. Ila kwa JPM tumaneno hutu hatufui dafu. Mbinu hii mliitumia sana wakati wa Kikwete na mlifanikiwa na ilikuwa miradi yenye kuandikiwa andiko la kiutekelezaji ili kuondoa hofu ya rais asiye jiamini na mtegemea mngolitini.