Tafsiri sahihi ya ubeberu

Mzungu yeyote anayeshirikiana na WAPINZANI Tanzania ni BEBERU.

Mzungu yeyote anayeshirikiana na CCM ni MDAU wa Maendeleo.
 
Labda hawa wanaweza kuelezea vizuri mabeberu ni nani
Your browser is not able to display this video.
 
Thibitisha hilo,hawa mabeberu wanafanya yote hayo serikali ikiwa wapi?Incompetence of our organs?
Hao mabeberu ndiyo walimnyima mafao ya kimatibabu na kumvua ubunge?Tuwe realistic kidogo.
Hukumu ya Haki ni 28/10/2020,tunataka Uhuru wetu kwa maendeleo yetu.Twende na Mh.Lissu.
 
Naona huna hoja unajambajamba tu. Kwa HERI πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…