Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Tanzania tuna magenge ya Wahalifu yaliyovalishwa UniformKweli kabisa.Tanzania wapinzani wlishind wakapelekewa Kesho la polisi kuwapiga na kuwadhalilisha.Funzo kubwa kwa Mahakama zetu,Polisi,Jeshi na CCM yao.
Umeandika nini sasa ???kila nchi inasheria zake .mfano Tanzania tume ikitangaza hakuna wakupinga.Ndugu zangu,
Tafsiri yake; Kilichoangaliwa na Majaji si matokeo , bali mchakato wa uchaguzi. Kwamba mchakato ulikuwa batili. Na ilivyo, mchakato unaweza kuathiri matokeo.
Kenya imethibitisha kuwa Mahakama ni kimbilio la mnyonge na mwenye nguvu. Ndivyo inavyotakiwa iwe. Raila Odinga alionekana kichekesho na wale waliokuwa wakiamini kuwa Afrika mgombea aliye madarakani akishinda ni kujisumbua kwenda mahakamani. Hongera Sana Kenya kwa kuionyesha dunia kuwa Afrika uhuru wa Mahakama upo, na kwamba anayeshindwa uchaguzi kama anaona hakutendewa haki aende mahakamani, na si kuandamana na kufanya vurugu.
Maggid,
Iringa.
Kwani kashindwa?Hamjazoea demokrasia ndio maana. Na uhuru atakuwa icon ya Afrika sio hili Kanikia la mkaa wa maweUkiungana na chadema lazima uangukie pua kama hivi.
Ni kweli msomi lakini kwenda mahakamani kwa tanzania isiwe ni fasheni tu hasa sheria za tanzanzania kuweka ukomo wa kufungua mashauri ya madai pasipo kuweka ukomo wa kusikiliza mashauri ya madai,hapa kuna shida sana hasa mashauri ya madai ya kaziNdugu zangu,
Tafsiri yake; Kilichoangaliwa na Majaji si matokeo , bali mchakato wa uchaguzi. Kwamba mchakato ulikuwa batili. Na ilivyo, mchakato unaweza kuathiri matokeo.
Kenya imethibitisha kuwa Mahakama ni kimbilio la mnyonge na mwenye nguvu. Ndivyo inavyotakiwa iwe. Raila Odinga alionekana kichekesho na wale waliokuwa wakiamini kuwa Afrika mgombea aliye madarakani akishinda ni kujisumbua kwenda mahakamani. Hongera Sana Kenya kwa kuionyesha dunia kuwa Afrika uhuru wa Mahakama upo, na kwamba anayeshindwa uchaguzi kama anaona hakutendewa haki aende mahakamani, na si kuandamana na kufanya vurugu.
Maggid,
Iringa.
Katiba yetu inasema tume ni chombo chenye maamuzi ya mwisho kuhusu uchaguzi na hakihojiwi na mamlaka nyingine!Kweli kabisa.Tanzania wapinzani wlishind wakapelekewa Kesho la polisi kuwapiga na kuwadhalilisha.Funzo kubwa kwa Mahakama zetu,Polisi,Jeshi na CCM yao.
Aliyeandamana nani?Ndugu zangu,
Tafsiri yake; Kilichoangaliwa na Majaji si matokeo , bali mchakato wa uchaguzi. Kwamba mchakato ulikuwa batili. Na ilivyo, mchakato unaweza kuathiri matokeo.
Kenya imethibitisha kuwa Mahakama ni kimbilio la mnyonge na mwenye nguvu. Ndivyo inavyotakiwa iwe. Raila Odinga alionekana kichekesho na wale waliokuwa wakiamini kuwa Afrika mgombea aliye madarakani akishinda ni kujisumbua kwenda mahakamani. Hongera Sana Kenya kwa kuionyesha dunia kuwa Afrika uhuru wa Mahakama upo, na kwamba anayeshindwa uchaguzi kama anaona hakutendewa haki aende mahakamani, na si kuandamana na kufanya vurugu.
Maggid,
Iringa.
Siyo Afrika demokrasia ipo sema Kenya demokrasia ipo.Ndugu zangu,
Tafsiri yake; Kilichoangaliwa na Majaji si matokeo , bali mchakato wa uchaguzi. Kwamba mchakato ulikuwa batili. Na ilivyo, mchakato unaweza kuathiri matokeo.
Kenya imethibitisha kuwa Mahakama ni kimbilio la mnyonge na mwenye nguvu. Ndivyo inavyotakiwa iwe. Raila Odinga alionekana kichekesho na wale waliokuwa wakiamini kuwa Afrika mgombea aliye madarakani akishinda ni kujisumbua kwenda mahakamani. Hongera Sana Kenya kwa kuionyesha dunia kuwa Afrika uhuru wa Mahakama upo, na kwamba anayeshindwa uchaguzi kama anaona hakutendewa haki aende mahakamani, na si kuandamana na kufanya vurugu.
Maggid,
Iringa.
Kamwene bela maggid .
Aisee mahakama za Kenya zimeweka historia ya kipekee duniani.
Msifiche udhaifu wenu kwenye koti la kenya, africa ina nchi zaidi ya 50.Ndugu zangu,
Tafsiri yake; Kilichoangaliwa na Majaji si matokeo , bali mchakato wa uchaguzi. Kwamba mchakato ulikuwa batili. Na ilivyo, mchakato unaweza kuathiri matokeo.
Kenya imethibitisha kuwa Mahakama ni kimbilio la mnyonge na mwenye nguvu. Ndivyo inavyotakiwa iwe. Raila Odinga alionekana kichekesho na wale waliokuwa wakiamini kuwa Afrika mgombea aliye madarakani akishinda ni kujisumbua kwenda mahakamani. Hongera Sana Kenya kwa kuionyesha dunia kuwa Afrika uhuru wa Mahakama upo, na kwamba anayeshindwa uchaguzi kama anaona hakutendewa haki aende mahakamani, na si kuandamana na kufanya vurugu.
Maggid,
Iringa.
Kamwene bela maggid .
Aisee mahakama za Kenya zimeweka historia ya kipekee duniani.
Vipi kuhusu Chama Chako cha Lumumba kuna kitu nimejifunza kweli ?Ndugu zangu,
Tafsiri yake; Kilichoangaliwa na Majaji si matokeo , bali mchakato wa uchaguzi. Kwamba mchakato ulikuwa batili. Na ilivyo, mchakato unaweza kuathiri matokeo.
Kenya imethibitisha kuwa Mahakama ni kimbilio la mnyonge na mwenye nguvu. Ndivyo inavyotakiwa iwe. Raila Odinga alionekana kichekesho na wale waliokuwa wakiamini kuwa Afrika mgombea aliye madarakani akishinda ni kujisumbua kwenda mahakamani. Hongera Sana Kenya kwa kuionyesha dunia kuwa Afrika uhuru wa Mahakama upo, na kwamba anayeshindwa uchaguzi kama anaona hakutendewa haki aende mahakamani, na si kuandamana na kufanya vurugu.
Maggid,
Iringa.
Kama refarii akichezesha mpira fairly, magori humtambulisha mshindi.Sipati picha Kama Raila angeshinda urais, alafu mahakama ikaja kutoa maamuzi kama ya leo..
Ingekuwa kwetu baada ya watu kuibiwa kura badala ya mtu aliyeibiwa kutakiwa kwenda mahakamani kudai haki yake,vyombo vya dola vingekuwa vinafanya mazoezi mitaani kumtisha aliyeibiwa kura asiendelee kupiga kelele.
Election is not an event.. is a process.... NILIMSIKIA JAJI AKISEMA HAYANdugu zangu,
Tafsiri yake; Kilichoangaliwa na Majaji si matokeo , bali mchakato wa uchaguzi. Kwamba mchakato ulikuwa batili. Na ilivyo, mchakato unaweza kuathiri matokeo.
Kenya imethibitisha kuwa Mahakama ni kimbilio la mnyonge na mwenye nguvu. Ndivyo inavyotakiwa iwe. Raila Odinga alionekana kichekesho na wale waliokuwa wakiamini kuwa Afrika mgombea aliye madarakani akishinda ni kujisumbua kwenda mahakamani. Hongera Sana Kenya kwa kuionyesha dunia kuwa Afrika uhuru wa Mahakama upo, na kwamba anayeshindwa uchaguzi kama anaona hakutendewa haki aende mahakamani, na si kuandamana na kufanya vurugu.
Maggid,
Iringa.
JE,SHERIA ZETU ZINARUHUSU KWENDA MAHAKAMANI?.....Kama sheria haziruhusu,Je aliyeonewa afanye nini?...KUANDAMANANdugu zangu,
Tafsiri yake; Kilichoangaliwa na Majaji si matokeo , bali mchakato wa uchaguzi. Kwamba mchakato ulikuwa batili. Na ilivyo, mchakato unaweza kuathiri matokeo.
Kenya imethibitisha kuwa Mahakama ni kimbilio la mnyonge na mwenye nguvu. Ndivyo inavyotakiwa iwe. Raila Odinga alionekana kichekesho na wale waliokuwa wakiamini kuwa Afrika mgombea aliye madarakani akishinda ni kujisumbua kwenda mahakamani. Hongera Sana Kenya kwa kuionyesha dunia kuwa Afrika uhuru wa Mahakama upo, na kwamba anayeshindwa uchaguzi kama anaona hakutendewa haki aende mahakamani, na si kuandamana na kufanya vurugu.
Maggid,
Iringa.
Hivi JECHA ni mahakama?K
Mbona Hamad alishinda Zanziba na Jecha akafuta uchaguzi na ukarudiwa?